Ushauri kwa Diamond: Unatia aibu, achana na Makonda anakuharibia sana

Hahahah

Yaani nisingekuona hapa ningeandamana peke yangu walahi

uzi wowote unaomhusu bashite lazima nitafute comment yako

[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
 
D alizunguka nchi nzima kukata viuno kwenye kampeni CCM bila hivyo naye angekuwa mmojawapo wa kutangazwa hadharani na Bashite kwa kujihusisha na unga.

Ukaribu wake na Bashite haina maana kuwa Bashite ni msafi bali ni kwa ajili ya kujilinda ili Bashite asije akaweka mambo hadharani,wakati Bashite mwenyewe ana ogopa kufanya hivyo kwa kukumbuka fadhila za viuno vya D alivyokata nchi nzima kwenye kampeni za CCM.
 
Kwa hili mnamuonea bure Diamond, hivi kati ya Diamond na sheikh mkuu wa Darisalama na Askofu ni nani anapaswa kujitambuwa na kuonesha mfano kwa jamii?

Na usikute wewe bado unapeleka pesa zako msikitini na kanisani kutowa sadaka ili wanafki hawa waendelee kuzitafuna.
 
Domo uwezo wake wa kufikili mdogo kwanza elimu yake na bashite ni sawa wote wanaongoza kupata sifuri
 
Hahahah

Yaani nisingekuona hapa ningeandamana peke yangu walahi

uzi wowote unaomhusu bashite lazima nitafute comment yako

[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Jamaa ajielewe yule
 
Wajinga nyie lengo lenu mnataka nae amfuate wema haendi hata kwa dawa kwa nn ashabikie chama kilichokosa muelekeo wakat CCM ipo? Tunajua mnaumia sana mwachen mond na mkuu wa mko hayawahusu
 
Wajinga nyie lengo lenu mnataka nae amfuate wema haendi hata kwa dawa kwa nn ashabikie chama kilichokosa muelekeo wakat CCM ipo? Tunajua mnaumia sana mwachen mond na mkuu wa mko hayawahusu
Suala siyo kubakia ccm..
 
Chipa umeongea ukweli na kwa hisia kali sana, kweli kijana amekuuma.
 
Diamond ana mkwanja mlefu kuliko Bashite, Bashite analipwa milioni 5 tu kwa mwezi mzima,diamond ukifanya shoo moja unaweza piga hadi milioni 30.Sasa Bashite wa nini? Achana na siasa diamond wewe sio ccm wala ukawa wewe ni mwanamuziki.
Ukijifanya unajiingiza kuvaa mashati ya kijan utapotea ndugu yangu.
 
Shule nayo ni Muhimu sana, Wewe unadhani mtu kama Niki Wa pili aka Nikki Mbishi anaweza fanya ujinga huu!!! Wazazi wapeleke Watoto shule!!!
 
Ushauri murua
 
Ukiona mambo yako yananyooka, shikilia hapo hapo, maana wengine wanakupa ushauri usio na maana kwako! Usiache mtu akaku derailed!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…