Hahaha
Kiba kumaliza bifu
Ni kama kumwambia hendsam wako Bashite atoe vyeti.
Ni kumnyima ugali hapo sasa.
Sasa kwani le baharia si ni bashite kasoro u Rc tuuuAah huyo nani amsifie jaman akhuu
Duuh, na Mondi kumaliza je?Hahaha
Kiba kumaliza bifu
Ni kama kumwambia hendsam wako Bashite atoe vyeti.
Ni kumnyima ugali hapo sasa.
Huyu ni wakuvuluga tu yule ndio mstaarabu hata mm maona
Hahahah
Yaani nisingekuona hapa ningeandamana peke yangu walahi
uzi wowote unaomhusu bashite lazima nitafute comment yako
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Atajitahid basi kujirekebisa si unajua ww tena kwakeAah nae saa nyingine sio kabisa
Sasa kwani ke baharia si ni bashite kasoro u Rc tuuu
Wote ma hendsam
HahahaUmenipa furaha nami nimecheka
Nashukuru na karibu.
HahahahaDuuh, na Mondi kumaliza je?
Atajitahid basi kujirekebisa si unajua ww tena kwake
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Handsome anawavutia pumzi tu,vyeti keshapeleka kwa wahusika.
Kiba bana nasikia jana kamkatia simu sam misango hahaha kisa yupo majuu au maswali yalimboa!
Soon anafika umpikie pilau na mafuta ya pambaHapo poa kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Le baharia kaishi ulaya u know ana vyeti vingi mpaka vingine vimeshaliwa na panya hahahah ila hamzidi hb makonda kijana wa mwanza kuitawala dar jiji la wanaojiita wanjaja
Soon anafika umpikie pilau na mafuta ya pamba
Simpendi alikiva hata kidogo tabia zake alivyo.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Uwa nahisi kiba ni moja ya watu wagumu kuwa nao karibu duniani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
MSAGA SUMU aliseme le Baharia ni msomi wa PhD.
Na le baharia naye ni kama deouty RC maana si kwa povu lile analo toa akigusiwa Bashite
Basi sato na ugali wa mtama uhusike bibieSiyapend hayo mafuta harufu yake tu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Uwa nahisi kiba ni moja ya watu wagumu kuwa nao karibu duniani
Basi sato na ugali wa mtama uhusike bibie