Ushauri kwa Diamond: Unatia aibu, achana na Makonda anakuharibia sana

Ushauri kwa Diamond: Unatia aibu, achana na Makonda anakuharibia sana

Diamond umehangaika kujenga brand yako sana.kitendo ulichofanya juzi kutokea kwenye sherehe ya makonda ya kutimiza mwaka mmoja wa Makonda umejishusha sana. Makonda ni mchafu sana kwa aliyoyafanya. Usidhani anapingwa na chadema tu..hata sisi CCM tunataka aondolewe.

Diamond umekosa nn? Unamashabiki wengi sana..!! Usipende kujihusisha na chama hasa na watu km makonda ambao wameshafuka. Unamashabiki wengi sana waliopo ccm, ukawa, na wasio na vyama. Acha kujipendekeza kijana jiamini..!! Makonda anakuzidi nini cha ziada..!! Makonda hakufikii kwa chochote. Makonda ni liability kwako ..not asset km unavyodhani.

Makonda acha kutumia mgongo wa wasanii kujisaficha hauwezi ukawa msafi tena. Kwanza umedanganya umma kuhusu jina lako, unatumia Cheti siyo chako. Chama kinapitia wakati mgumu kwa sababu yako. Umemfanya Rais anaonekana ana double standard kisa wewe.

Suala siyo ziro..suala ni kitumia Cheti cha MTU.

Diamond achana na makonda na mambo ya vyama. Makonda huyu ambaye akifika hata marekani anapiga picha..ushamba mzigo..!! Diomomd wewe siyo tid, wewe siyo yule mzee kijana mtoto wa malechela ambaye hajielewi.

Diamond kuwa mjanja basi. makonda anakutia aibu. Punguza kujifanya wewe ccm..wewe siyo ccm ..wenye ccm hawana makeke hivyo, wametulia kimya..!! Watakutumia tu. Hata juma nature na marlaw walikuwa ccm. Wewe ni asset..

Diamond unakuwa km bashite na wewe.

Watanzania tunajipaga upofu was mahaba. Waliomtajirisha na kumpa mafanikio ni haohao wauza unga, na system ya mafisadi.
Watu wakiangalia wanasema ni jasho lake. Of course ni jasho la kujipendekeza, in other words, juzi mkulu kamwambia amefurahi kumuona yeye ni "Chama cha mapinduzi".

Kama sio njaa za dai ni kitu gani kinamfanya ajiingize kwenye siasa?
Mbona wakina Joh makini wako neutral.

Pia upande mwingine wanasiasa hua wanajikomba kwa msanii ili tu waweze kupata shavu kwa wananchi.
So wana symbiotic relationship.
 
Wazee wa ngada pigeni kimya basi mnatuchosha sasa
 
Ki
Diamond umehangaika kujenga brand yako sana.kitendo ulichofanya juzi kutokea kwenye sherehe ya makonda ya kutimiza mwaka mmoja wa Makonda umejishusha sana. Makonda ni mchafu sana kwa aliyoyafanya. Usidhani anapingwa na chadema tu..hata sisi CCM tunataka aondolewe.

Diamond umekosa nn? Unamashabiki wengi sana..!! Usipende kujihusisha na chama hasa na watu km makonda ambao wameshafuka. Unamashabiki wengi sana waliopo ccm, ukawa, na wasio na vyama. Acha kujipendekeza kijana jiamini..!! Makonda anakuzidi nini cha ziada..!! Makonda hakufikii kwa chochote. Makonda ni liability kwako ..not asset km unavyodhani.

Makonda acha kutumia mgongo wa wasanii kujisaficha hauwezi ukawa msafi tena. Kwanza umedanganya umma kuhusu jina lako, unatumia Cheti siyo chako. Chama kinapitia wakati mgumu kwa sababu yako. Umemfanya Rais anaonekana ana double standard kisa wewe.

Suala siyo ziro..suala ni kitumia Cheti cha MTU.

Diamond achana na makonda na mambo ya vyama. Makonda huyu ambaye akifika hata marekani anapiga picha..ushamba mzigo..!! Diomomd wewe siyo tid, wewe siyo yule mzee kijana mtoto wa malechela ambaye hajielewi.

Diamond kuwa mjanja basi. makonda anakutia aibu. Punguza kujifanya wewe ccm..wewe siyo ccm ..wenye ccm hawana makeke hivyo, wametulia kimya..!! Watakutumia tu. Hata juma nature na marlaw walikuwa ccm. Wewe ni asset..

Diamond unakuwa km bashite na wewe.
kijana anapotea huyu..shauri ake
 
Watanzania tunajipaga upofu was mahaba. Waliomtajirisha na kumpa mafanikio ni haohao wauza unga, na system ya mafisadi.
Watu wakiangalia wanasema ni jasho lake. Of course ni jasho la kujipendekeza, in other words, juzi mkulu kamwambia amefurahi kumuona yeye ni "Chama cha mapinduzi".

Kama sio njaa za dai ni kitu gani kinamfanya ajiingize kwenye siasa?
Mbona wakina Joh makini wako neutral.

Pia upande mwingine wanasiasa hua wanajikomba kwa msanii ili tu waweze kupata shavu kwa wananchi.
So wana symbiotic relationship.
Eti jasho la kujipendekeza daah watu MNA maneno
 
Diamond kwa kweli pale ali kera kweli, hivi zile akili alizo zionesha kwenye kuizima bifu yake na Kiba zilimfanya aonekane ana maana, halafu akaja kuharibu kabisaaaa kwa kuonekana na Bashite.
Kwanza yeye ina muongezeaa nini aki kaa jirani na Bashite?, angekaa home ingempungua nini?, hajui kuwa RC alikuwa ana mtumia kwa aijili tu ya kutaka vijisifa vyake mwenyewe.
Namkubali sana Domo ila kwa Bashite kaonesha u pompompo wa hali ya juu.
KIDOGO NIMTAFUNE NYAMA!

kaniwuziiiiii!
 
Ukiwa mwamuziki ficha hisia zako za siasa kwa sababu una mashabiki toka vyama mbalimbali vya siasa. Diamond jiepushe ba ishu hizi za kisiasa, ukipuuza wanayokwambia mashabiki wako na watu wenye busara utakuja kulia kilio ambacho hutopata wa kukufuta machozi. Siasa ni mchezo mchafu umakini waitajika. Umeona yanayomuandama RC ambaye kabla ya hayo alionekana kama shujaa!
 
Akie
Ukiwa mwamuziki ficha hisia zako za siasa kwa sababu una mashabiki toka vyama mbalimbali vya siasa. Diamond jiepushe ba ishu hizi za kisiasa, ukipuuza wanayokwambia mashabiki wako na watu wenye busara utakuja kulia kilio ambacho hutopata wa kukufuta machozi. Siasa ni mchezo mchafu umakini waitajika. Umeona yanayomuandama RC ambaye kabla ya hayo alionekana kama shujaa!

Akiendelea kumsapoti Huyo R.C never mimi kwenye maisha yangu kumsapoti Diamond
 
...Ni ileile oh ni ileileeee....mwaka huu wataisomaaa....
 
Wewe ni nani wa
Diamond umehangaika kujenga brand yako sana.kitendo ulichofanya juzi kutokea kwenye sherehe ya makonda ya kutimiza mwaka mmoja wa Makonda umejishusha sana. Makonda ni mchafu sana kwa aliyoyafanya. Usidhani anapingwa na chadema tu..hata sisi CCM tunataka aondolewe.

Diamond umekosa nn? Unamashabiki wengi sana..!! Usipende kujihusisha na chama hasa na watu km makonda ambao wameshafuka. Unamashabiki wengi sana waliopo ccm, ukawa, na wasio na vyama. Acha kujipendekeza kijana jiamini..!! Makonda anakuzidi nini cha ziada..!! Makonda hakufikii kwa chochote. Makonda ni liability kwako ..not asset km unavyodhani.

Makonda acha kutumia mgongo wa wasanii kujisaficha hauwezi ukawa msafi tena. Kwanza umedanganya umma kuhusu jina lako, unatumia Cheti siyo chako. Chama kinapitia wakati mgumu kwa sababu yako. Umemfanya Rais anaonekana ana double standard kisa wewe.

Suala siyo ziro..suala ni kitumia Cheti cha MTU.

Diamond achana na makonda na mambo ya vyama. Makonda huyu ambaye akifika hata marekani anapiga picha..ushamba mzigo..!! Diomomd wewe siyo tid, wewe siyo yule mzee kijana mtoto wa malechela ambaye hajielewi.

Diamond kuwa mjanja basi. makonda anakutia aibu. Punguza kujifanya wewe ccm..wewe siyo ccm ..wenye ccm hawana makeke hivyo, wametulia kimya..!! Watakutumia tu. Hata juma nature na marlaw walikuwa ccm. Wewe ni asset..

Diamond unakuwa km bashite na wewe.
Wewe ni nani wa kumchagulia Diamond marafiki?!?!?! Kwani Diamond ni mtoto mdogo? hata watoto huchagua wenyewe marafiki!
 
Utabiri unatimia, tokea ametoa ule upuuzi wake 'nikae kimya' wenye akili tulisha mpuuza, ndio maana hata hizo ngoma zake3 alizoachia hivi karibuni umma haukuzipa uzito japo sio mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utabiri unatimia, tokea ametoa ule upuuzi wake 'nikae kimya' wenye akili tulisha mpuuza, ndio maana hata hizo ngoma zake3 alizoachia hivi karibuni umma haukuzipa uzito japo sio mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
Diamond anapaswa aache kuimba kwa miaka kama miwili hivi kwanza.
 
Wakati naanza kutumia jamii forum niliambiwa it's a home of great thinkers...but kwa hiki nachokiona sidhani kama kuna haja kabsa ya kujipa hii sifa...naona kumejaa umbea ,unafiki,utimu,uzumbukuku na mambo ambayo ni ya aibu...sioni uthinkers humu kabsa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati naanza kutumia jamii forum niliambiwa it's a home of great thinkers...but kwa hiki nachokiona sidhani kama kuna haja kabsa ya kujipa hii sifa...naona kumejaa umbea ,unafiki,utimu,uzumbukuku na mambo ambayo ni ya aibu...sioni uthinkers humu kabsa....

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe umecomment nini hapa kama sio kuanika ubashite wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom