Ushauri kwa gari la kwanza

Ushauri kwa gari la kwanza

Gol D Roger

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2023
Posts
2,316
Reaction score
6,082
Naombeni ushauri wataalamu, nataka kuchukua gari, gari ambalo ni reliable, less costly and low fuel consumption, kwasababu ndo gari la kwanza nataka gari ambalo halitaniumiza kichwa then badae mambo yakienda sawa nita upgrade.

Kwa uchunguzi niliofanya nimekuja kugundua mafundi wengi wa magari wanasema Toyota Corolla ni gari moja reliable sana na wamenishauri kama ndio gari la kwanza niagize corolla 2007 but sina experience nalo.

Naombeni mchango wenu wenye experience na hizi corolla.
 
Naombeni ushauri wataalamu, nataka kuchukua gari, gari ambalo ni reliable, less costly and low fuel consumption, kwasababu ndo gari la kwanza nataka gari ambalo halitaniumiza kichwa...
1. Unaagiza JP, unanunua yard au kwa mtu?

2. Budget kwa makadirio range ipi?

3. Uyo aliekuambia “Corolla” kama unaweza mtumie ata elfu 5 Mpesa chap.

4. Unapenda gari shape gani?

5. Corolla family ina sedan (mfano corolla x), ina hatch mfano (runx) nk.
 
Chukua passo vitz starlet ama suzuki jimmy toyota cami feroza daishatsu ama toyota succeed

Ukiweza kuzimaster hizo mzei chukua land cruiser hardtop 4500cc isuzu bighorn ama nissan safari
 
Nunua kitu roho yako inapenda na uko tayari kupambana nacho fanya utafiti kwenye YouTube fatilia car reviews kadhaa then jilipue utapata somo zuri kupitia experience. Hahahaha huu ushauri wangu umekuwa bias na tabia yangu huwa sipendi kuanza na chakujaribu naenda mazima mazima.
 
Chukua passo vitz starlet ama suzuki jimmy toyota cami feroza daishatsu ama toyota succeed

Ukiweza kuzimaster hizo mzei chukua land cruiser hardtop 4500cc isuzu bighorn ama nissan safari
Hii feroza daihatsu unaizungumziaj
 
Back
Top Bottom