Ushauri kwa gari la kwanza

Ushauri kwa gari la kwanza

Gari underatted sana ili. Hivi ushuru upoje?

Tena hiz za miaka Ya karibun wame zi
Modernize haIjakaa kama Chai Maharage kama zile Toleo za Mwanzo body structure ni ile ile ila kidogo kuna udambwi udwambi wameongeza.. shape ya dashboard iko poa sana.. ni gari ngumu, spacious and very versatile

Sijui kwa nn inafanywa kama mtoto wa kambo kwenye familia Ya toyota
 
Naombeni ushauri wataalamu, nataka kuchukua gari, gari ambalo ni reliable, less costly and low fuel consumption, kwasababu ndo gari la kwanza nataka gari ambalo halitaniumiza kichwa then badae mambo yakienda sawa nita upgrade.

Kwa uchunguzi niliofanya nimekuja kugundua mafundi wengi wa magari wanasema Toyota Corolla ni gari moja reliable sana na wamenishauri kama ndio gari la kwanza niagize corolla 2007 but sina experience nalo.

Naombeni mchango wenu wenye experience na hizi corolla.
Huna hela wewe. Hata Corolla ya 2007 itakusumbua bure. Hiyo fedha kiduchu fanyia mambo mengine
 
Back
Top Bottom