Pre GE2025 Ushauri kwa Halima Mdee, kurudi CHADEMA ni kujidanganya

Pre GE2025 Ushauri kwa Halima Mdee, kurudi CHADEMA ni kujidanganya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Ukiangalia account zote za wapinzani utakuta picha ya Free nani, Free nani, kwa Mdee yeye kwake picha za simba na Yanga.

Naamini 100% mdee hata akisamehewa basi ni kujidanganya, moyo haupo kabisa upizani.

bora tu uwende CCM ukamlizie siasa zako, maana CCM tupo wengi kwenye foleni tunataka nafasi
 
Ukiangalia account zote za wapinzani utakuta picha ya Free nani, Free nani, kwa Mdee yeye kwake picha za simba na Yanga.

Naamini 100% mdee hata akisamehewa basi ni kujidanganya, moyo haupo kabisa upizani.

bora tu uwende CCM ukamlizie siasa zako, maana CCM tupo wengi kwenye foleni tunataka nafasi
Halima Mdee ni mwanaccm kitambo sana.
 
Ukiangalia account zote za wapinzani utakuta picha ya Free nani, Free nani, kwa Mdee yeye kwake picha za simba na Yanga.

Naamini 100% mdee hata akisamehewa basi ni kujidanganya, moyo haupo kabisa upizani.

bora tu uwende CCM ukamlizie siasa zako, maana CCM tupo wengi kwenye foleni tunataka nafasi
Mdee yupo CCM kitambo sn
 
Back
Top Bottom