Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 6,581
- 11,572
Mdeef
Mdee ni binti wa makamo.Mbona umemkadiria michache hivyo!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdee ni binti wa makamo.Mbona umemkadiria michache hivyo!?
UongoMr hana ila Mrs yupo
UkweliUongo
Astaghfirullah !!!Mr hana ila Mrs yupo
Kama humtaji sawa ila HALIMA ni mwanamke.Ukweli
Lini Erythrocyte akaweka akiba ya maneno, yeye ni mropokaji tuMkuu weka akiba ya maneno.
Career ndio kubaki chakademus?Halima Mdee alikuwa mpambanaji wa ukweli, ila tamaa ya fedha imemponza...kaharibu carrier yake ya kisiasa.
Mkuu ww una miaka 80+ nini? Unamuita Halima Mdee binti wakati ana miaka 40+?Huyu Binti na umri wake, alibugi step.
CCM hata UWT tawi hapewi nafasi,sasa sijui ataingilia Mlango upi!
Aolewe maisha yaende, ndio njia iliyobakia.
Kama mapapa wa CCM waliweza kutoka na kuingia Chadema na kupewa uongozi hawatashindwa kuwarudisha hao walikivujia jasho chama.Lini Erythrocyte akaweka akiba ya maneno, yeye ni mropokaji tu
Ndo kuna amesema hapo 45 aiseeMbona umemkadiria michache hivyo!?
Sure lo Tim is the best answer