Halima Mdee ni mwanaccm kitambo sana.Ukiangalia account zote za wapinzani utakuta picha ya Free nani, Free nani, kwa Mdee yeye kwake picha za simba na Yanga.
Naamini 100% mdee hata akisamehewa basi ni kujidanganya, moyo haupo kabisa upizani.
bora tu uwende CCM ukamlizie siasa zako, maana CCM tupo wengi kwenye foleni tunataka nafasi
Mdee yupo CCM kitambo snUkiangalia account zote za wapinzani utakuta picha ya Free nani, Free nani, kwa Mdee yeye kwake picha za simba na Yanga.
Naamini 100% mdee hata akisamehewa basi ni kujidanganya, moyo haupo kabisa upizani.
bora tu uwende CCM ukamlizie siasa zako, maana CCM tupo wengi kwenye foleni tunataka nafasi
Yuko na nani huko?Mdee yupo CCM kitambo sn
Aliamini dikteta Magu ataishi muda mrefu sn na katiba itabadilishwaHuyu Binti na umri wake, alibugi step.
CCM hata UWT tawi hapewi nafasi,sasa sijui ataingilia Mlango upi!
Aolewe maisha yaende, ndio njia iliyobakia.
Wale COVID 19Yuko na nani huko?
Mengine sina mawaa nayo.Ila,matumizi ya neno "binti" ni vema ukatazama upya.Huyu Binti na umri wake, alibugi step.
CCM hata UWT tawi hapewi nafasi,sasa sijui ataingilia Mlango upi!
Aolewe maisha yaende, ndio njia iliyobakia.
Mkuu weka akiba ya maneno.Unazungumzia kufufua maiti, haitawezekana
Mdee sio bint anagonga 35-40Huyu Binti na umri wake, alibugi step.
CCM hata UWT tawi hapewi nafasi,sasa sijui ataingilia Mlango upi!
Aolewe maisha yaende, ndio njia iliyobakia.
1978-1979 approximately 45.Mdee sio bint anagonga 35-40
Mr wake anaitwa naniMdee sio bint anagonga 35-40
The last time I checked,hajaolewa.🤔Mr wake anaitwa nani
Shida inaanzia hapo!The last time I checked,hajaolewa.🤔
Unknown kama una nia jisogezeMr wake anaitwa nani
Kwa nini muheshimiwa?Shida inaanzia hapo!