Kwanza kabisa niipongeze Kampuni ya ITV kama channel pendwa. Niwashirikishe changamoto inayoikabili ITV.
Kipindi cha taarifa ya habari ni kipindi muhimu sana kwanza inatazamwa na karibu wananchi wote wa Tanzania na Afrika Mashariki lakini baadhi ya watangazaji hawaitendei haki kipindi hiki.
Mfano kuna mtangazaji mmoja ambaye ni mwana Mama siyo maakini wakati anatangaza taarifa ya habari. Kwanza hana concetration wakati wa utangazaji na hana flow (mtiririko mzuri) wakati wa kipindi hiki.
Niwapongeza wengine ambao ni watangazaji wazuri kama F. Middle, Odana Madai na wengineo. Ni vema kila mara wawe wanapelekwa kozi fupi fupi ili kumarisha utendaji wao wa kazi.
Kipindi cha taarifa ya habari ni kipindi muhimu sana kwanza inatazamwa na karibu wananchi wote wa Tanzania na Afrika Mashariki lakini baadhi ya watangazaji hawaitendei haki kipindi hiki.
Mfano kuna mtangazaji mmoja ambaye ni mwana Mama siyo maakini wakati anatangaza taarifa ya habari. Kwanza hana concetration wakati wa utangazaji na hana flow (mtiririko mzuri) wakati wa kipindi hiki.
Niwapongeza wengine ambao ni watangazaji wazuri kama F. Middle, Odana Madai na wengineo. Ni vema kila mara wawe wanapelekwa kozi fupi fupi ili kumarisha utendaji wao wa kazi.