Ushauri kwa jukwaa la kikristo Tanzania

Ushauri kwa jukwaa la kikristo Tanzania

gebemanka

New Member
Joined
Mar 8, 2011
Posts
2
Reaction score
0
Jukwaa la kikristo Tanzania limetoa waraka kwa sisi waumini kuhusu mambo yanavyoendelea katika bunge la katiba na kwamba waumini wa kikristo na wote wenye mapenzi mema waikatae katiba itakayopatikana. Ushauri wangu kwa jukwaa uanze kuwatenga wakristo wote waliopo bunge la katiba na uamuzi huo uutangazwe makanisani.
 
...walioko bungeni wameikana imani na utu wamevaa ngozi ya ccm...
 
Wewe nawe hiki kihoja chako ni dhaifu mno. Tunge kuwa tunakimbilia kutenga hata ww ungekuwa ushatengwa kwa maana dhambi ngapi umezifanya na bado unapewa muda wa kurekebisha.
 
Na sadaka zao wasichukue.
Wakristo wepi hao? Kama wanataka makanisa yakose waumini basi wachanganye siasa na dini.
 
Back
Top Bottom