Ushauri kwa kijana mwenzetu

Ushauri kwa kijana mwenzetu

baba enock wewe unataka uwe wa kwanza tu kumpelea labor room?!

hao walioko mitaani weshatoa mimba kadhaa na hamuwasemi, aliyezaa kwa kihalali na kufiwa na mumewe ndio imekuwa tabu.

kaka muoe eee kaa umempenda na utazidi kubarikiwa kwenye ndoa yako.
 
Tatizo langu ni Umri:

Mandela alimuoa Graca! Ni vyema wajane wakaolewa/oa na watu walokuwa katika "rika" linalowiana"!

29 years of age wengine tulikuwa bado hatujafikiria hata kuoa - na hata mahusiano yetu hayakuwa "so skewed in terms of age"!

Huyu kijana bado mdogo kuwa na mahusiano na mwana-Mama!

MWANA-MAMA ni rika gani?
Kwani mwanamke kuolewa tena kama alishawahi kuolewa au kuzaa kunahusu nini?
Think outside the box pls.
 
no wonder ndoa za sasa hazidumu, hao vipusa mnaowasemea ndio wanafanya ndoa kila kukicha kula na matatizo kibao, mnaangalia upusa hamuangalii zaidi......mbona cc wanawake tunaweza kuwalea watoto tuliowakuta nao waume zetu?....kashasema mwanaume alifariki kwa ajali.


Nyamayao wanawake wote waliofiwa na waume zao mara nyingi hawasemi ukweli utakuta mume kafariki kwa kale kaugojwa ka nyumbani utakwambia kafari kwa ajali.Huyu kijana lazima ampeleke huyo mwanamke hospital afanyiwe vipimo vyote nina wasiwasi na afya za akina mama waliofiwa na waume zao.

Idadi ya wanawake ni kubwa zaid ya idadi ya wanaume sasa inakuwa taabu tupu kwa mwanaume kumwoa mwanamke alieingia kwenye ndoa wakati kuna idadi kubwa ya wanawake wanasubiri kupata ndoa.Chonde chonde mwambie huyo mwanamume amtose huyo mama atafute mwanamke mbichi aanze maisha mapya na mawanamke mpya na familia mpya asichukue scraper
 
I'm saying it again: Kijana wa kiume kuoa mwanamke ambaye tayari alishazaa na mwanamume mwingine ni kuingia kwenye matatizo yasiyo ya lazima! Mwanaume lazima ufurahie uzao wako wa KWANZA! Kama una miaka 29 bado una nafasi kubwa ya kuingia "labor ward" kumuangalia "mwanamke wako" ambaye hajawahi kuingia mahala hapo.

Acheni kumpotosha kijana - Wasichana warembo wapo wengi tu.


Mimi sioni tatizo lolote hapo baba _ Enock, la muhimu watu wamependana na wanaheshimiana , lkn kusema eti ni lazima Aoe mwanamke ambaye bado hajazaa si kweli , hiyo inaweza ikawa ni njia yake nzuri katika maisha yake. ninamaana ya kuwa mm niliolewa nikiwa na umri wa miaka 29 na nilikuwa na watoto wawili, na niliolewa na kijana ambaye hakuwahi kuwa na mtoto . nashukuru Mungu tunaishi vizuri na tunapendana sana.
 


Nyamayao wanawake wote waliofiwa na waume zao mara nyingi hawasemi ukweli utakuta mume kafariki kwa kale kaugojwa ka nyumbani utakwambia kafari kwa ajali.Huyu kijana lazima ampeleke huyo mwanamke hospital afanyiwe vipimo vyote nina wasiwasi na afya za akina mama waliofiwa na waume zao.

Idadi ya wanawake ni kubwa zaid ya idadi ya wanaume sasa inakuwa taabu tupu kwa mwanaume kumwoa mwanamke alieingia kwenye ndoa wakati kuna idadi kubwa ya wanawake wanasubiri kupata ndoa.Chonde chonde mwambie huyo mwanamume amtose huyo mama atafute mwanamke mbichi aanze maisha mapya na mawanamke mpya na familia mpya asichukue scraper


wewe ndio umepotea kweli! Unapata elimu ya UKIMWI kweli wewe?
1. Kudanganywa siyo ishu.. unatakiwa mpime kwanza kabla ya kila kitu.
2.Je hao wanawake unaowasema " wabichi" una uhakika hawana? Tena wewe kama hujaoa una hatari ya kuuvaa mkenge maana vigezo vyako vya kaugonjwa vinatia mashaka.
3. Scrape? ( umeita scraper!!)... inaonyesha huheshimu binadamu wenzio.Unachukulia kama takataka. Jirekebishe.Je wewe ni brand-new? Mtoto mchanga tu ndio brand-new hajawa poluted na kitu -kuanzia akili yake ambayo ni tabula-rasa hadi miili na matendo yao.
 


Nyamayao wanawake wote waliofiwa na waume zao mara nyingi hawasemi ukweli utakuta mume kafariki kwa kale kaugojwa ka nyumbani utakwambia kafari kwa ajali
.Huyu kijana lazima ampeleke huyo mwanamke hospital afanyiwe vipimo vyote nina wasiwasi na afya za akina mama waliofiwa na waume zao.

Idadi ya wanawake ni kubwa zaid ya idadi ya wanaume sasa inakuwa taabu tupu kwa mwanaume kumwoa mwanamke alieingia kwenye ndoa wakati kuna idadi kubwa ya wanawake wanasubiri kupata ndoa.Chonde chonde mwambie huyo mwanamume amtose huyo mama atafute mwanamke mbichi aanze maisha mapya na mawanamke mpya na familia mpya asichukue scraper

huko kote watafika, kwani cku hizi kuna watu wanaoana kabla ya kucheki afya zao?...hiyo ni dharau kubwa uliyoionyesha hapo.
 
Baba Enock, shukuru Mungu sana ulibahatika kuoa mapema na inawezekana ulioa aliyepitiwa na watu wengi sana ila hukuona wala hukujua kama watu wallipita kilichokudanganya tu ni le kwamba hakuwa amezaa.

Wanawake walioachika na waume zao wako juu wanaolewa kila siku ya Mungu kuliko hao unaofikiria wewe na kuwaita the way you want.

Kija kaza buti oa fasta kabla hawajakuwahi wenzio.

Sina tatizo na kupitiwa na wangapi - Kwani hata leo inawezekana bado anapitiwa!

Kwanini kijana wa miaka 29 afikirie kuoa mwanamke mwenye mtoto tayari? Mimi naamini kabisa kuna "motive(s)" nyingine zaidi ya mapenzi na ndoa!
 
baba enock wewe unataka uwe wa kwanza tu kumpelea labor room?!

hao walioko mitaani weshatoa mimba kadhaa na hamuwasemi, aliyezaa kwa kihalali na kufiwa na mumewe ndio imekuwa tabu.

kaka muoe eee kaa umempenda na utazidi kubarikiwa kwenye ndoa yako.

Hivi kutoa Mimba ni Kuzaa? I never even thought of comparing these two!

Naona mnajaribu kuingia kwenye "gender issues"!

Umejaribu kuongezea maneno maneno mazuri "aliyezaa kwa halali"!
 
Nadhani kijana kama amempenda huyo mwenzie wasonge mbele tu mradi umri uwe unaruhusu hata hivyo age aint nothing but a number...cha muhimu ni mapenzi ya kweli kati yao...na isitoshe yaweza kuwa huyo bi dada alikuwa na tabia njema mpaka mumewe alipoaga dunia na amejitunza ndio mana ameonekana na kusajiliwa na timu mpya..

Tunaojifanya tunataka mashine mpya ndio tunaibiwa na kuachwa tukilia...jamaa hana kipingamizi kama mama karidhia ni juu yao wenyewe kupanga maisha yao ila hakuna tatizo kumdate mjane aweza kuwa na miaka 25 na akaonekana mrembo kuliko ambaye hajazaa na ana miaka 32 tena bado yuko single...

MZEE MZIMA NAKUPA GREEN LIGHT OA MAMA UMERIDHIKA NAE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mimi sioni tatizo lolote hapo baba _ Enock, la muhimu watu wamependana na wanaheshimiana , lkn kusema eti ni lazima Aoe mwanamke ambaye bado hajazaa si kweli , hiyo inaweza ikawa ni njia yake nzuri katika maisha yake. ninamaana ya kuwa mm niliolewa nikiwa na umri wa miaka 29 na nilikuwa na watoto wawili, na niliolewa na kijana ambaye hakuwahi kuwa na mtoto . nashukuru Mungu tunaishi vizuri na tunapendana sana.


29 year una watoto wawili na bado ulikuwa haujaolewa - that leaves me speechless!

Kama haukuwa na tatizo, certainly kulikuwa na tatizo: Msihararishe Dhambi!
 
Kwanini kijana wa miaka 29 afikirie kuoa mwanamke mwenye mtoto tayari? Mimi naamini kabisa kuna "motive(s)" nyingine zaidi ya mapenzi na ndoa!

INA MAANA HUYU MTOTO MAISHA YAKE YOTE ASIPATE "BABA"????? KUMBUKA MAWAZO NA MIPANGO YA MUNGU SIYO YA MWANADAMU NA MIPANGO NA MAWAZO YA MWANADAMU SIYO YA MUNGU - UWE NA HURUMA KWA MAMA ALIYEFIWA NA MTOTO PIA - MUNGU KAAMUA KUMFUTA MACHOZI KWA KUMPA MUME ..........NOTHING WRONG WITH THAT

Ina maana hupendi huyo MTOTO ASIWE NA BABA MAISHA YAKE YOTE??? KISA BABA YAKE ALIFARIKI?? MIPANGO YA MUNGU SIO YA MWANADAMU NA MIPANGO YA MWANADAMU SIYO YA MUNGU - MWACHE MAMA WA WATU AOLEWE NA MTOTO WA WATU APATE BABA
 
Mkuu Baba Eno tuko pamoja..
Why kuoa mtu wa hivyo??? sioni msingi wake..labda.... binadamu tumeumbwa tofauti..:confused2:
 
Miaka 29 unahangaika na jimama ambalo lilikwishaolewa na kuwa-widowed WHY?

Kama ni tamaa ya mali za marehemu mwambie aendelee; kama ni kutaka mke wa kuoa mwambie tamaa itampeleka pabaya!

Mbona umerukia kusema 'jimama'? Kwani wote waliofiwa na waume ni majimama? Ukumbuke wengine wanafiwa mapema sana katika maisha yao ya ndoa.

Ni hilo tu, kuwa makini na unachosema. Huyo dada pia nae ana feelings, usiumize watu pasipo na ulazima kaka yangu
 
All:

I'm out of here - naona wengine mna-post mkiwa kwenye "sympathetic mode"!
 
Tatizo langu ni Umri:

Mandela alimuoa Graca! Ni vyema wajane wakaolewa/oa na watu walokuwa katika "rika" linalowiana"!

29 years of age wengine tulikuwa bado hatujafikiria hata kuoa - na hata mahusiano yetu hayakuwa "so skewed in terms of age"!

Huyu kijana bado mdogo kuwa na mahusiano na mwana-Mama!

Kwani kawaambia huyo mdada ana umri gani? Kwani haiwezekani kuwa huyo mdada ana umri mdogo kuliko huyo kijana? After all umri its just a number when it come to a real love. Tena kijana wa watu keshajua hii ndo kitu aitakayo. Mimi nina rafiki yangu alioa mwanamke ambaye alishafiwa na mumewe. Kwa bahati huyu dada alikuwa na mtoto 1 wa kike na alikuwa mdogo sana ka miaka 6 hivi. Yule jamaa alimsomesha yule binti kwa kiwango cha hali ya juu sana. Katika maisha yao ya ndoa walijaliwa kupata watoto wengine 3. Balaa ni kuwa hao watoto wa baba huyu ni korofi ile mbaya, bangi mtu mbaya kabisa. Yule mtoto wa yule baba marehemu ana adabu ile mbaya na hajui kuwa yule sio baba yake. Anampenda huyu baba kuliko maelezo. Baba anampenda huyu binti kuliko kitu chochote. Binti amesoma na kwa bahati amepata kazi UN. Huwezi amini, sio kwamba huyu bwana mzee hana fweza! Anazo za kumtosha binti kamtumia RANGE ya kisasa kabisa.
Mi namshauri aendelee tu na huyu bibiye kama wanapendana kwa maana ya kupendana na sio kwa ajili ya mali wala nini.
Kikubwa amwombe Mungu ili ampe mke mwema! Maana mke mwema hutoka kwa MUNGU. Kaka endelea usiogope!
 
kama mwanamama umri unaruhusu bado hana haki?...may b 25-29....mtoa thread hebu tuambie mwanamama ana age gani...au shida hapa ni kwamba kashaitwa mama?

To clarify mwanamke ana umri wa miaka 29 in short wote wanalingana pia kuna watu walihitaji kufahamu kwamba mume wake alikufa kwa ajali ya gari na hilo limethibitishwa na familia ya mwanamke pia
 
Baba Enock Kumbuka mapenzi hayachagui huyo mama hakupenda mmewe afariki...na kama yeye na kijana wameona ni vema kuwa pamoja sioni tatizo hata kidogo...
Mwenyezi mungu awatangulie katika hili jema
Kijana hajakosea hata kidogo..
...Kweli FL1 mbona wanaume wakifiwa na wake zao wanaoa wasichana ambao hawajawahi kuolewa. Hoja ni mapenzi na maelewano tu. Niliwahi kushuhudia harusi mjini mbeya ya mwanamke aliolewa mara ya kwanza na kuzaa watoto watatu na akaachwa na mumewe akaja kuolewa tena. Bahati nzuri nilialikwa kwenye huo mnuso na mdada anakula bata mpaka leo tangu 1999...:A S 8::A S 8:
 
To clarify mwanamke ana umri wa miaka 29 in short wote wanalingana pia kuna watu walihitaji kufahamu kwamba mume wake alikufa kwa ajali ya gari na hilo limethibitishwa na familia ya mwanamke pia

Miaka 29 unao mwanamke mwenye miaka 29 ambaye tayari amezaa!

Tell him not to try this! Unaweza ukaprint hii post ukampa

That relationship is null and void!
 
Back
Top Bottom