Suip
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,353
- 815
Kiwango cha mshahara nilichokuwa nacho baada ya makato yote ni 545,000/= baada ya kuchukua mkopo mwaka juzi wakawa wananikata 147,861/= na kiwango cha mshahara ninachoenda nacho nyumbani ni 397,139/=
Sasa hivi ninahitaji mkopo mwingine wa kama 3,000,000/= ambao kipindi cha kulipa ni miaka 4 na kiwango cha mshahara kwenda nacho nyumbani kitabaki 300,000/=
Je, benki ya NMB itakubali kunipatia huo mkopo mwingine? Na kwa upande wa DED(Mkurugenzi wa Halmashauri) kuna kizuizi cha hiyo take home?
Nisije aibika kabla ya kwenda Benki, mwenye uzoefu tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hivi ninahitaji mkopo mwingine wa kama 3,000,000/= ambao kipindi cha kulipa ni miaka 4 na kiwango cha mshahara kwenda nacho nyumbani kitabaki 300,000/=
Je, benki ya NMB itakubali kunipatia huo mkopo mwingine? Na kwa upande wa DED(Mkurugenzi wa Halmashauri) kuna kizuizi cha hiyo take home?
Nisije aibika kabla ya kwenda Benki, mwenye uzoefu tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app