Ushauri kwa kocha wa Yanga na uongozi wa Yanga

Ushauri kwa kocha wa Yanga na uongozi wa Yanga

Kuna wachezaji Nabi alisema amevutiwa nao msimu huu na wote wapo Geita gold
Mpole- straika
Kelvin nashon- kiungo
Mimi nadhani tunamhitaji kelvin zaidi kuziba pengo la bangala pindi anapokosekana.
Msimu Ujao Tunaenda Caf Champions League Sasa Kwa Wachezaji Hao Ndugu Yangu Kweli Tutafanya Kitu Huko, Saiv Tunatakiwa Tusajili Wachezaji Wenye Experience Na Ile Michuano Ndo Waje Kucheza Yanga Msimu Ujao
 
Nasikia nabii kapigwa umeme baada ya mechi ya geita, alifanya kosa gani?
 
First eleven mbona tayari tunayo...hizo mechi ziwe kwaajili ya kuwaweka fit wachezaji watakao toka majeruhi kina feisal,aucho,bangala na moloko na wale ambao hawakupata sana nafasi mechi zilizopita.
Watu Kama Akina Adebayor, Aziz Ki Beki Kama Inonga Ndo Tunataka Kuona Msimu Ujao Jangwani
 
Kuna wachezaji Nabi alisema amevutiwa nao msimu huu na wote wapo Geita gold
Mpole- straika
Kelvin nashon- kiungo
Mimi nadhani tunamhitaji kelvin zaidi kuziba pengo la bangala pindi anapokosekana.
Kuna jamaa yuko Dodoma jiji anaitwa Cleophas Mkandala ni fundi sana
 
Back
Top Bottom