Poleni sana. Mkataba wa DP World imetufumbua macho hata sisi wananchi wa vijijini.
Ni ushauri kwa Mamlaka. Mikataba yote itakayoingiwa na Serikali katika siku za usoni ijumuishe Watalaam wafuatao:
1. Wanasheria wabobezi kutoka TLS na ZLS.
2. Wanasheria toka Sekta binafsi.
3. Wachumi toka Vyuo Vikuu vya nchini na Sekta binafsi.
4. Wahandisi wabobezi kama mkataba ni wa kihandisi.
5. Wale wote watakonekaana mikataba inawagusa.
Nchi ni yetu sote. Tusiingie kwenye mikataba kwa kificho. Mamlaka ijifunze kutokana DP World jinsi ilivyoleta taharuki.
Nawasilisha.
Ni ushauri kwa Mamlaka. Mikataba yote itakayoingiwa na Serikali katika siku za usoni ijumuishe Watalaam wafuatao:
1. Wanasheria wabobezi kutoka TLS na ZLS.
2. Wanasheria toka Sekta binafsi.
3. Wachumi toka Vyuo Vikuu vya nchini na Sekta binafsi.
4. Wahandisi wabobezi kama mkataba ni wa kihandisi.
5. Wale wote watakonekaana mikataba inawagusa.
Nchi ni yetu sote. Tusiingie kwenye mikataba kwa kificho. Mamlaka ijifunze kutokana DP World jinsi ilivyoleta taharuki.
Nawasilisha.