Ushauri kwa Mange Kimambi

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?

Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
 
kamtafute page yake ya ista na usisahau kumtag daudi
 
warumi umetumwa
 
Nyoka mmeqnza kutoka wenyewe mapangoni chezea moto wa vyeti feki wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ni checheee
 
Umeposti ushuuuziii mtupu ,na mtalijua jiji mwaka huu 2017.mlizidi sana mpaka mkajifananisha na Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…