Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,308
- 5,272
tehe tehe teheTena tunahitaji watu Kama 20 kule insta aina za kina mange
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tehe tehe teheTena tunahitaji watu Kama 20 kule insta aina za kina mange
TrueUthubutu wake,ukweli wake(hata kama mda mwingine unakuwa umbea)ndio tofauti kubwa kati yako na mange,ni heri kupata kina mange kumi katika tanzania yetu,kuliko kuwa na watu Mia au elfu,wanafiki na wanao penda kufukia uovu usijulikane,msema kweli ni mpenzi wa mungu...
Ngoja azipate yule Dada hana brake unajuaMuache dadang ww utaumia naenda kumwambia nakwambia utajuta kupost ichi ki Post uchwara atakuvua had boxa ohooo kila mtu atakujua
Umejuaje kama hana kazi???
Mpeni kazi ya kufanya basi kama mnamuonea huruma sana. Bando aweke kwa hela yake yuko marekani nyie mnawashwa mpo TanzaniaHuyu ana stress za talaka. Anamchukia kila aliyemzidi. Huko Marekani anakazi ya kulea tu watoto na kusubiri child support halafu kutwa anapiga makelele na Makonda.
Tena umedandia vibaya mnoHodiiii.... ii Jf,Iam Sorry wadau wa jf kwa Kudandia tren.
Kwa hiyo wewe unaona marekani ni mbinguni? Huko marekani hana kazi yoyote ni yaya tu. Kazi tumpe sisi au atafute. Ni bipolar hawezi akawa mtu wa kawaida ambaye kila mwenye mafanikio ni adui yake. Anajifanya anajua kila kitu kumbe hovyo tu.Kama yeye mwanamke kweli aje Tanzania.Mpeni kazi ya kufanya basi kama mnamuonea huruma sana. Bando aweke kwa hela yake yuko marekani nyie mnawashwa mpo Tanzania
Aje Tanzania mumkamate? Kwani ye mjinga. Usimchukie mtu kwa sababu anasema ukweli hizo ni tabia za kichawi watanzania mkoje?Kwa hiyo wewe unaona marekani ni mbinguni? Huko marekani hana kazi yoyote ni yaya tu. Kazi tumpe sisi au atafute. Ni bipolar hawezi akawa mtu wa kawaida ambaye kila mwenye mafanikio ni adui yake. Anajifanya anajua kila kitu kumbe hovyo tu.Kama yeye mwanamke kweli aje Tanzania.