Ushauri kwa Mange Kimambi

Nakuonaga wa maana warumi kumbe akiri yako ni fupi Mange yupo sahihi hachafui mtu kwani uongo Paul Makonda haha hajafekifeki
 
Mshauri Malaya mwenzenu akabebe mabox aache kuhangaika na watanzania kama alichezea maisha ni yeye, wivu tu na roho mbaya zimemjaa
Mkuu sijakuelewa naona umefura hasira na majibu yasiyo na staha!!...kwani Vip mbona matusi!!.. Mbona unahasira kwan we na Mange mnagombania bwana maana si kwa hasira hizi!!....
Nachompendea huyo Mange anafukuaga mambo yaliyojificha ,ambayo tulikua hatujui !! Watu kama hawa n muhimu sana hapa duniani!!.. Na uhakika angekua hajasoma asingeweza kuyafanya hayo anayoyafanya Leo ...elimu dil we kama huoni endelea na matus !! Hamna anaepay attention !!... No body pay attention to Psychotic
Nyie ndo dizain ya watu msiopenda kukosolewa!!... Nahis utakua chama cha.....
 
Eti ndoa imemshinda [emoji2] [emoji2] watu washakunaku nyie Mmh!! Kwani yeye ni wa kwanza kuachika? Kama huijui ndoa bora ukae kimya tu ule ni muunganiko wa kiutu uzima na akili zako za kitoto hizo hautouelewa kamwe
Kwan hajaachika? Maisha yamempiga hana mbele wala nyuma kabaki kutukana watu ovyo insta
 
Ushauri mzuli ila ungemfata instagram ambako anapatikana masaa 24. Huku hawez kuuona au la atachelewa kuuona
 
Ushauri mzuli ila ungemfata instagram ambako anapatikana masaa 24. Huku hawez kuuona au la atachelewa kuuona
 
We nae nyege zinakusumbua, kazi yake we inakuhusu nini, umeambiwa na yeye ni RC? Na unajuaje hana kazi na wewe hauishi Marekani?
 
Mtoa mada umechafukwa sababu mange kagusa ambako hamtaki kuguswe..ulikua wapi usitetee na wale wengine woooooote aliowachafua huyu mange?leo kaguswa bashite povu linakutoka na mitusi kibao kwa baba za watu..pole sana vumilia tu yatapita km ambavyo sisi wengine tulivumilia alipokua anamvua nguo mzee wetu lowassa kwa kushirikiana na daudi
 
Nilidhani hapa ni mahali pa great thinkers!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…