Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Lol, hilo mbona jepesi, utashangaa ananitajia mpaka hospital niliyozaliwa, mange yule ana mashetani binamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Lol, hilo mbona jepesi, utashangaa ananitajia mpaka hospital niliyozaliwa, mange yule ana mashetani binamu
Mmmmmh we nawe!! Hata kuandika tu hujui ndo unataka kujipima ubavu kwa Mange? Atakuchambua mpaka familia yako yote itakukataa! Wewe endelea kumchokonoa! Lakini kama unajiamini mfuate Instagram!Kwani mange hanijui hajaribu kugusa huu moto, atarudi Us makalio hana
Mbona mimi cna uadui nae?Kwa hiyo wewe unaona marekani ni mbinguni? Huko marekani hana kazi yoyote ni yaya tu. Kazi tumpe sisi au atafute. Ni bipolar hawezi akawa mtu wa kawaida ambaye kila mwenye mafanikio ni adui yake. Anajifanya anajua kila kitu kumbe hovyo tu.Kama yeye mwanamke kweli aje Tanzania.
Dah! Nimecheka sana.Haaa naona umemsahau na King off social network Mzee wa Degree Tatu,ambaye mpaka leo yuko Kwa baba.
Kama hukutaka tusome umeweka uzi wa nini siungeandika text umtumie basha wako povu nenda kajampie mbele huko nyooAliyekusumbua nani? Umbea tu kuna aliyekutuma uingie humu, ntolee genye zako shwetani mwekundu wewe
Mkuu sina hakika kama mambo yako binafsi unayaweza maana unafuatilia sana maisha ya wengine. Nahisi utakuwa hamphrodite. Fanya yako. Achana na maisha ya watu. Kama unaona anakosea nenda kwenye ukurusa wake wa insta na siyo kuleta njaa zako hapa.Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?
Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
Tunaongelea elimu aliyoipata na jinsi inavyomsaidia na kusaidia wengine, kama ni hivyo aache kumnanga makounder coz ye mwenyewe hatumii taaluma yake zaidi ya kuropoka mitandaoni.Lakin kama anaishi na anatimiza majukum ya familiar yake kwake ni sawa tu...
Umenichekesha sana mkuu kwa kweli dunia haiishi vituko 🙂 🙂 🙂Sasa huyo mtoto utamtolea kwa nyuma au wapi? Dunia haaiishi vituko aisee
Hana uwezo huo mkuu, anajua akili ya Mange ilivyo ndio maana anakuja kulilia pembeni huku, teh teh teh..kamtafute page yake ya ista na usisahau kumtag daudi
Mfate insta huko mkuu tupate kujua wasifu wako kwa undani.Watu wana vichambo vya mwendo kasi, ntakula nao sahani moja, Mimi ndo warumi, jeshi la mtu mmoja, lol
Mkuu in maana hazifuliwagi?au ndio zinafuliwa usiku na kukaushwa na pasi?Pedeshyee lisilobadili Nguo all the time yeye ni Bukta na shati lake lile la njugu njugu
Umesema kweliPost za hivi huwa inapendeza zikiletwa na verified user.
Ndio mana imeongoza TZ nzima kuwa na zero kidato cha nneWarumi wewe si warumi tena Bali ni wavumbi wa kujikomba komba kama bashite, angalau Mange ametufumbua macho kujua kuwa Dar si salama tena kielimu,na usisahau Dar ndio Tanzania yenyewe sasa kama inaongozwa na wajinga wajinga hiyo ni hatari kuliko hatari ya Mange kuto kufanya kazi na kushinda insta
Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?
Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
We unavyeti fake,kama anaongea ukweli hana makosa.hata ww unauhuru wa kuongea.ndomana umepost si kwamba watu wote tumependaKwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?
Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
😀😀😀 unataka Mange apewe data zake amlipuePost za hivi huwa inapendeza zikiletwa na verified user.
Very True[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haaa naona umemsahau na King off social network Mzee wa Degree Tatu,ambaye mpaka leo yuko Kwa baba.