Ushauri kwa Mange Kimambi

Ushauri kwa Mange Kimambi

Kwa hiyo wewe unaona marekani ni mbinguni? Huko marekani hana kazi yoyote ni yaya tu. Kazi tumpe sisi au atafute. Ni bipolar hawezi akawa mtu wa kawaida ambaye kila mwenye mafanikio ni adui yake. Anajifanya anajua kila kitu kumbe hovyo tu.Kama yeye mwanamke kweli aje Tanzania.
Mbona mimi cna uadui nae?
 
Aliyekusumbua nani? Umbea tu kuna aliyekutuma uingie humu, ntolee genye zako shwetani mwekundu wewe
Kama hukutaka tusome umeweka uzi wa nini siungeandika text umtumie basha wako povu nenda kajampie mbele huko nyoo
 
Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?

Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
Mkuu sina hakika kama mambo yako binafsi unayaweza maana unafuatilia sana maisha ya wengine. Nahisi utakuwa hamphrodite. Fanya yako. Achana na maisha ya watu. Kama unaona anakosea nenda kwenye ukurusa wake wa insta na siyo kuleta njaa zako hapa.
 
Lakin kama anaishi na anatimiza majukum ya familiar yake kwake ni sawa tu...
Tunaongelea elimu aliyoipata na jinsi inavyomsaidia na kusaidia wengine, kama ni hivyo aache kumnanga makounder coz ye mwenyewe hatumii taaluma yake zaidi ya kuropoka mitandaoni.
 
Warumi wewe si warumi tena Bali ni wavumbi wa kujikomba komba kama bashite, angalau Mange ametufumbua macho kujua kuwa Dar si salama tena kielimu,na usisahau Dar ndio Tanzania yenyewe sasa kama inaongozwa na wajinga wajinga hiyo ni hatari kuliko hatari ya Mange kuto kufanya kazi na kushinda insta
Ndio mana imeongoza TZ nzima kuwa na zero kidato cha nne
 
Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?

Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite

Mleta mada unaelimu gani ya Mage kimambi inaeleweka yako je?
 
Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?

Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
We unavyeti fake,kama anaongea ukweli hana makosa.hata ww unauhuru wa kuongea.ndomana umepost si kwamba watu wote tumependa
 
Back
Top Bottom