Ushauri kwa Mange Kimambi

Ushauri kwa Mange Kimambi

Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?

Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
Kuna aina mbili za kichaa/vichaa @1.kichaa anaemwona kichaa @2.kichaa mwenyewe
 
Huyu bibi kwa jinsi alivyokuwa Hana nidham hata kwa Wakubwa, nimetokea kumchukia mpaka nahisi hata nikiskia amekufa nitacheka Sana japo ninatambua hata Mimi nutakufa.
 
Kama Kuna anaemdiss anajiamini aende na ID yake ya ukweli insta akamletee noma ambazo mnaleta nyuma ya keyboard hapa ndio mtamjua vizuri yule dada.
 
Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?

Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
Watu wanaotumika matundu yote ya miili yao kama huyu wana shida sana......Mange ni jeshi kubwa kuliko hilo la sizonje wenu,
Na wala haezi sumbuliwa na nyie mbwa koko......
Mabwana zenu wenyewe wametumia mpaka usalama wa taifa na wamemshindwa sembuse wewe mfuga makalio.
[HASHTAG]#HuchoFuckingMoki[/HASHTAG].
#Daud_Bashite.
 
we mbona kazi yako kupiga majungu mastar hapa JF huna kazi?
 
warumi acha wivu wa kike.Mange huwa sipendi baadhi ya harakati zake lakini kwa hili la [HASHTAG]#Bashite[/HASHTAG] nipo naye.Fanya yako. Daudi weka vyeti acha maneno.
 
Watanzania bana et atafute kazi...kazi ipi ambayo wewe unahitaji atafute na aifanye???? Mtaacha Lin kuwaelekeza watu wasiowahusu aina ya maisha mliyoyakrem?
Wewe unahtaj ushauri wa kujua mtu akichagua maisha yake n yakwake wewe hayakuhusu hata chembe...
Unapungua nn mange kushinda insta? Ulimsomesha kias kwamba unaona hafanyi kaz basi haupat rejesho la ada yako kwake?
Acha mambo za kipuuzi....

Mshauri bashte atukomeshe aweke vyeti wazi
Bashite anawaumiza kichwa eeh? Yule sio level yenu mumkome, na pale hawezi kutoka ng'oo, aaaaaaah aaah aliyepewa mheshimu riziki yake ni pana, mange ni fungu la kukosa, mfamaji tu hana A wala B
 
warumi hatutaki ya mange kamwambie DAUDI ALBERT BASHITE ALETE VYETI
Vyeti mmepiga makelele umeona anahangaika na nyie ? Mwenzenu yuko busy, aliyepewa kapewa tu nyie endeleeni kuimba bashite msahahua kufanya yenu, bashite hawezi kuwaletea chakula hata mumtaje miaka miaka ooooh
 
Kuna aina mbili za kichaa/vichaa @1.kichaa anaemwona kichaa @2.kichaa mwenyewe
Unajua nawashangaa?? Mnaniita chizi wakati mnajazna kwenye threads zangu kutoa mapovu yenu, si mniache au tuna share uchizi
 
Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?

Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
digidigi😀😀😀😀😀
 
Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?

Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
Nakuona kada ktk ubora wako. Kwa hiyo wewe kwa akili yako ndogo unaona kila anayepost mambo mtandaoni hana kazi?

Hivi unajua unaweza kufanya kazi ukiwa nyumbani kwako?

Ulizia D9 Club utapata mfano.

Mitandao ipo kupashana, kujuzana na kufumbuana macho.

Ukipaniki shauri yako ila jamaa yako hana vyeti.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Unatafta umaharufu kupitia mage kimambi hebu mwache maana sasahiv utararuliwa
 
Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which is a good credit that unaweza kufanya kazi sehemu yeyote ile, kwa nini usitafute kazi huko US ufanye?

Why unaishi kama digi digi ambaye hana mbele wala nyuma, kutwa upo instagram kuchafua watu ,unamkashifu makonda kuwa ana vyeti fake,wewe mwenzetu vyetu vyako mbona umefungia ndani ? Kama wasomi wenyewe ndo wa type kama yako aiseeh ni haki tukiongozwa na akina makonda ambao unadai ni vilaza ,usomi wako hauna faida yeyote ,elimu uliyoipata dubai ni sifuri dada yangu maana haijakusaidia chochote, ni bora hata akina bashite
Mwoga kweli wewe,unaacha kumfuata insta unatuandikia sisi huku,kwani nayeye yuko humu forum?,usiogope mfuate huko insta.
 
Mwoga kweli wewe,unaacha kumfuata insta unatuandikia sisi huku,kwani nayeye yuko humu forum?,usiogope mfuate huko insta.
Mbona yeye anawatukana watu akiwa IS si aje bongo kuwatukana huku kama hawajamkeketa makalio, mxieee anaogopwa bashite peke yake mwenye dola yake sio huyo kahaba mwendo kasi
 
Back
Top Bottom