Tatizo mi naonaga kwenye mahesabu ya kufungua biashara, hatuhesabu hela ya kujikimu wakati biashara haija changanya, matokeo yake mtaji huohuo ndo utoe hela ya kula.
Ndo hivyo yashatokea, ushauri wangu asifunge biashara, hizo ni changamoto za biashara wote tumepitia/tunapitia
Kama ni trustworthy na amejifunza mwenendo wa biashara. Afanye mpango wa kukopa kwa jamaa na marafiki. Na ahahikishe watu wake wa karibu wote wanampa kazi yeye ya Tigopesa na M-pesa. Atavuka tu.
unamanisha kutoa marekebisho na kodi ya pango sivyo mkuu,!?Mm ningependa kujua kiasi cha mtaji ulichokiingiza kwenye mzunguko kutoa hayo marekebisho.
Halafu nipate na sababu ya kufa kwa biashara hapo naweza shauri ama kuchangia hiyo biashara.
Navojua hizi biashara faida zake ni kidogo sana. Ukikuta sehem mtu anapata laki 5 hadi 6 gawiwo kwa mwezi ujue hapo pamechangamka hasa.
mwanzaSITE IKO WAPI