dabluz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 2,456
- 1,672
Mm ningependa kujua kiasi cha mtaji ulichokiingiza kwenye mzunguko kutoa hayo marekebisho.
Halafu nipate na sababu ya kufa kwa biashara hapo naweza shauri ama kuchangia hiyo biashara.
Navojua hizi biashara faida zake ni kidogo sana. Ukikuta sehem mtu anapata laki 5 hadi 6 gawiwo kwa mwezi ujue hapo pamechangamka hasa.
Halafu nipate na sababu ya kufa kwa biashara hapo naweza shauri ama kuchangia hiyo biashara.
Navojua hizi biashara faida zake ni kidogo sana. Ukikuta sehem mtu anapata laki 5 hadi 6 gawiwo kwa mwezi ujue hapo pamechangamka hasa.