king can janja
Member
- Feb 14, 2018
- 21
- 1
Mimba ya mwezini mmoja bado iko chini hivyo sex msifanya mkomoeni pia epuka dog style kwa sasa.
Nashukuru,mimi nlivyokuelewa nisisex naye kiukweli nimeshafanya Je kuna madhara !Mimba ya mwezi mmoja bado iko chini hivyo sex msifanya mkomoeni pia epuka dog style kwa sasa.
Fanyeni kwa pleassure si tena ile ya kunyweana konyagi. Missionary style ndiyo kwake kwa sasa. Ukifanya kwa nguvu mimba inachoropoka.Nashukuru,mimi nlivyokuelewa nisisex naye kiukweli nimeshafanya Je kuna madhara !
Mimba za sikuhizi mbona zinamasharti sana, staili ni staili tu mimba ikishaingia kutoka siyo rahisiFanyeni kwa pleassure si tena ile ya kunyweana konyagi. Missionary style ndiyo kwake kwa sasa. Ukifanya kwa nguvu mimba inachoropoka.
Samahani doctor Mana kuuliza sio ujinga maziwa ya mtu mwenye mimba yana anaza kua magumu mimba ikiwa na miez mingapi??Fanyeni kwa pleassure si tena ile ya kunyweana konyagi. Missionary style ndiyo kwake kwa sasa. Ukifanya kwa nguvu mimba inachoropoka.