Ushaur wa kitaalam
Kama umetumia dawa haikufanya kaz, kuna mambo ya kuyaangalia
1 )inawezekana umetumia dose ndogo(kiasi pamoja na muda)
2)inawezekana dawa ulo2mia is not the right dawa kwa ugonjwa wako
3)na ili kuajua kua bacteria wamekua resistant inabid ufanye kipimo cha culture and sensitivity ili kujua ni aina gan ya mdudu na atarepond kwa dawa gan
4)inawezekana poa kuna dawa zingne unazo2mia ambazo zinaingiliana na dawa hio ilo2mia kias kwamba inashindwa fanya kz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.