ushauri kwa mwanafunzi

ushauri kwa mwanafunzi

Haika

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2008
Posts
2,347
Reaction score
562
naomba ushauri kwa ajili ya mwanafunzi huyu.
Emefeli somo moja maarufu kwa kufelisha wanafunzi hapo chuoni kwao.
Mwalimu/ lecturer, amewaambia darasani kuwa atafanya tuituion kwa wale wenye kuhitaji, na maswali ya Sapu yatatoka maeneo hayo atakayofundisha.
Tution hiyo, kwa siku tano ada ni laki moja.
Sasa anajiuliza aende au asiende?
Je ni halali au si halali?
Atakuwa amevunja sheria, je mwalimu ana makosa?
 
inavyoelekea watakaoenda tuition ndo watafaulu! hii nayo kali tuition chuo???Huyu mwalimu anapenda sana pesa yaani anakosea sana kashindwa kujitolea na kuwafundisha wanafunzi bure?kwa nini asishitakiwe kwa head if not kwa Dean!
 
naomba ushauri kwa ajili ya mwanafunzi huyu.
Emefeli somo moja maarufu kwa kufelisha wanafunzi hapo chuoni kwao.
Mwalimu/ lecturer, amewaambia darasani kuwa atafanya tuituion kwa wale wenye kuhitaji, na maswali ya Sapu yatatoka maeneo hayo atakayofundisha.
Tution hiyo, kwa siku tano ada ni laki moja.
Sasa anajiuliza aende au asiende?
Je ni halali au si halali?
Atakuwa amevunja sheria, je mwalimu ana makosa?
...Inategemea anataka elimu au Cheti? Kama anataka cheti aende kwani kama alishaambiwa kwa hiyo tuition na maswali ya sapu yatatoka humo ina maana ameshaonyeshwa mtihani...kama anataka elimu asiende!!!!!!!! Kuelimika sio kufaulu mtihani tu!!!
 
Ninajua anataka elimu, cheti pia ni muhimu.
Huyu mtu mzima ambaye anasoma masomo ya jioni, anajua maana ya cheti na maana ya elimu, cheti kinasubiriwa ofisini!
 
naomba ushauri kwa ajili ya mwanafunzi huyu.
Emefeli somo moja maarufu kwa kufelisha wanafunzi hapo chuoni kwao.
Mwalimu/ lecturer, amewaambia darasani kuwa atafanya tuituion kwa wale wenye kuhitaji, na maswali ya Sapu yatatoka maeneo hayo atakayofundisha.
Tution hiyo, kwa siku tano ada ni laki moja.
Sasa anajiuliza aende au asiende?
Je ni halali au si halali?
Atakuwa amevunja sheria, je mwalimu ana makosa?

Haika,
Unaweza ukatutajia hicho chuo. Tusije tukatoa gross judgements bure. Ila kama ni UDSM, hilo ni kosa kubwa kwa mwalimu kuanza kufanya biashara ndani ya chuo na anastahili kushitakiwa kwa uongozi wa chuo.
Anachotakiwa huyo mwalimu ni kumweleza Kijana alipokosea na tatizo lake lilikuwa wapi katika huo mtihani.
 
Haika mwambie aende tu kama anataka kugraduate!!! Elimu ya kibongo nnaifahamu vizuri
 
Hii si halali kabisa na unheard of. Akitaka kushitaki lazima awe na ushahidi kabambe kwa mfano amrekodi wakati akinadi sera zake za tuition vinginevyo atamruka na atashindwa kuthibitisha madai yake. Anaweza kutumia hata simu yake kama ina recording facility. Ni muhimu kukopmesha ufisadi huu
 
"Who can afford to run will run," Buju cries out in "Untold Stories". "But what about those who can't? They will have to stay."
 
“Who can afford to run will run,” Buju cries out in "Untold Stories". “But what about those who can’t? They will have to stay.”

Pundit,

Huyu hapa anamudu kukimbia na akiamua anaweza abaki. Anajiuliza afanyeje. Wewe umezingatia kwa asieweza kukimbia. Huyu hapa wewe na Buju mnamshauri akimbie, abaki?
 
Anaweza kufanya hatua 2 ambazo zina timeframe tofauti:

1. Kuhakikisha anapata 'cheti' (kama wadau wengine walivyoitofautisha na elimu)!. Hii solution ambayo ni short-term kwa msingi kwamba haitaathiri activities nyingine ambazo 'cheti' ni determinant. Hapo ni suala la kuangalia critical path..

2. Anaweza kupanga vilevile hatua ambazo ni long-term ili kuhakikisha lecturer husika anawajibishwa ili kuiepusha jamii na aina hii ya rushwa for good. Anaweza kushauriana na mshauri wake wa kitaalauma (kama yupo) au lecturer mwingine anayeaminika ili apate a-z ya jinsi gani kuiweka case yake i-sound na iwe na basis ambazo hazina utata.

Wasaalam
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom