Ushauri kwa Rais Samia: Ondoa posho za wabunge na mawaziri, shusha mishahara yao peleka kwenye vifaa tiba kwa ajili ya wananchi!

Ushauri kwa Rais Samia: Ondoa posho za wabunge na mawaziri, shusha mishahara yao peleka kwenye vifaa tiba kwa ajili ya wananchi!

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2019
Posts
9,863
Reaction score
20,806
Waziri wa afya ameshatoa yake kuhusu shirika la Bima NHIF kushindwa kujiendesha na kuelemewa na mzigo. Muathirika mkubwa ni mwananchi wa kawaida kwasababu wafanyakazi na wanasiasa hawatokosa fedha za matibabu!

Ili kusaidia, fedha za posho za wanasiasa fyeka zote peleka kwenye madawa na vifaa tiba ili ki boost sekta ya afya, kwani wanasiasa hawawezi kufa kwa kukosa posho bali wananchi wanaweza kufa kwa kukosa bima ya afya na vifaa tiba!

Kama utashindwa hilo kwa kuogapa lawama toka kwa walamba asali. Teua mimi wizara ya fedha nikuonyeshe kazi halafu wewe utanawa mikono na lawama zote zielekezwe kwangu!

Hatuwezi ua wananchi na walipa kodi kisa walamba asali!

Nakukumbusha kwamba, "Rasimu ya Warioba irudi mezani sasa iwe Katiba mpya"
 
Na wameipa jina zuri la solidarity fund. Waonyeshe mfano
 
Waziri wa afya ameshatoa yake kuhusu shirika la Bima NHIF kushindwa kujiendesha na kuelemewa na mzigo.

Muathirika mkubwa ni mwananchi wa kawaida Kwasababu wafanyakazi na wanasiasa hawatokosa fedha za matibabu!

Ili kusaidia ,fedha za posho za wanasiasa fyeka zote peleka kwenye madawa na vifaa tiba ili ki boost sekta ya afya,kwani wanasiasa hawawezi kufa kwa kukosa posho bali wananchi wanaweza kufa KWA kukosa bima ya afya na vifaa tiba!

Kama utashindwa hilo KWA kuogapa lawama toka kwa walamba asali,Teua mimi wizara ya fedha nikuonyeshe kazi halafu wewe utanawa mikono na lawama ZOTE zielekezwe kwangu!!!

Hatuwezi ua wananchi na walipa kodi kisa walamba asali!

Nakukumbusha kwamba:-

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya"
Tena na posho zao zifutwe wabaki na per diem pekee
 
Hivi unawajua majangili wa chama Twawala wanavyopendana kwenye maslahi na madaraka?
Mwaka huu tu mfuko wa Rushwa ya Mbunge ooh,sorry! Mfuko wa Jimbo wa Mbunge umeongezewa bajeti Kama Bilioni 5 katikati ya mfumuko wa Bei ya mafuta!!
Alafu unasema Bi.Mkora apunguze posho zao,anaweza Sasa,si watamnunia mpaka akome!
 
Hivi unawajua majangili wa chama Twawala wanavyopendana kwenye maslahi na madaraka?
Mwaka huu tu mfuko wa Rushwa ya Mbunge ooh,sorry! Mfuko wa Jimbo wa Mbunge umeongezewa bajeti Kama Bilioni 5 katikati ya mfumuko wa Bei ya mafuta!!
Alafu unasema Bi.Mkora apunguze posho zao,anaweza Sasa,si watamnunia mpaka akome!
Mkuu

Si ndiyo aniteue Mimi nibebe lawama!!?

Tena Mimi nisie na Jimbo KABISA!!

Mwigulu apelekwe ubalozini mimi niingie pale!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya"!
 
Waziri wa afya ameshatoa yake kuhusu shirika la Bima NHIF kushindwa kujiendesha na kuelemewa na mzigo. Muathirika mkubwa ni mwananchi wa kawaida kwasababu wafanyakazi na wanasiasa hawatokosa fedha za matibabu!

Ili kusaidia, fedha za posho za wanasiasa fyeka zote peleka kwenye madawa na vifaa tiba ili ki boost sekta ya afya, kwani wanasiasa hawawezi kufa kwa kukosa posho bali wananchi wanaweza kufa kwa kukosa bima ya afya na vifaa tiba!

Kama utashindwa hilo kwa kuogapa lawama toka kwa walamba asali. Teua mimi wizara ya fedha nikuonyeshe kazi halafu wewe utanawa mikono na lawama zote zielekezwe kwangu!

Hatuwezi ua wananchi na walipa kodi kisa walamba asali!

Nakukumbusha kwamba, "Rasimu ya Warioba irudi mezani sasa iwe Katiba mpya"
Watakushukia kama mwewe, ingawa ni hoja nzuri kabisa ya kizalendo
 
Na hatamaliza muda wake madarakani
Mkuu

Nitamaliza muda wangu KABISA!

Mimi sitokuwa dikteta kama yule bali ni hoja KWA hoja KABISA!!

Siasa haitokuwa tena kisima cha mapesa yanayomwagwa kama ilivyo Sasa bali kipimo cha uzalendo KABISA!!!

KWA Sasa ni ngumu kupata Mwanasiasa mzalendo KWA mapesa yote Hayo yaliyomo!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya"!
 
Mkuu

Nitamaliza muda wangu KABISA!

Mimi sitokuwa dikteta kama yule bali ni hoja KWA hoja KABISA!!

Siasa haitokuwa tena kisima cha mapesa yanayomwagwa kama ilivyo Sasa bali kipimo cha uzalendo KABISA!!!

KWA Sasa ni ngumu kupata Mwanasiasa mzalendo KWA mapesa yote Hayo yaliyomo!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya"!
Kwamba watakuacha tu na kukuangalia tu?
 
Wengine tushamwaga ushauri siku nyingi sana.
 
Waziri wa afya ameshatoa yake kuhusu shirika la Bima NHIF kushindwa kujiendesha na kuelemewa na mzigo. Muathirika mkubwa ni mwananchi wa kawaida kwasababu wafanyakazi na wanasiasa hawatokosa fedha za matibabu!

Ili kusaidia, fedha za posho za wanasiasa fyeka zote peleka kwenye madawa na vifaa tiba ili ki boost sekta ya afya, kwani wanasiasa hawawezi kufa kwa kukosa posho bali wananchi wanaweza kufa kwa kukosa bima ya afya na vifaa tiba!

Kama utashindwa hilo kwa kuogapa lawama toka kwa walamba asali. Teua mimi wizara ya fedha nikuonyeshe kazi halafu wewe utanawa mikono na lawama zote zielekezwe kwangu!

Hatuwezi ua wananchi na walipa kodi kisa walamba asali!

Nakukumbusha kwamba, "Rasimu ya Warioba irudi mezani sasa iwe Katiba mpya"
Nanusa ka harufu la hujuma Kwa mfuko huu, wakati NHIF unajifia, Kuna mfuko unapigiwa promo na una offer kibao!!!!!!

Nchi ngumu hii- Gen Ulimwengu.
 
Back
Top Bottom