kissa anyigulile
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 1,550
- 1,742
Sisi wamiliki wa vyombo vya moto, tumekuwa wazito sana kulipia vyombo vyetu Bima(third party).
Hasa Mikoani.
Ushauri:
Kama ilivyo kwa iliyokuwa Road License, third party iingizwe kwenye mafuta, hii itasaidia sana.
1) Serikali itaachana na mambo ya Agency
2) Haitawaumiza walipaji (they won't feel it)
3) Waathirika wa accidents watalipwa bila usumbufu, nk
Hasa Mikoani.
Ushauri:
Kama ilivyo kwa iliyokuwa Road License, third party iingizwe kwenye mafuta, hii itasaidia sana.
1) Serikali itaachana na mambo ya Agency
2) Haitawaumiza walipaji (they won't feel it)
3) Waathirika wa accidents watalipwa bila usumbufu, nk