NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
Jana nimefungua facebook nikaona mkurugenzi mmoja wa wanyama pori ametoa wazo kuwa serikali itoe kibali tembo wanaoharibu mazao kwa sasa wauwawe.
Mimi kama mzalendo sikubaliani na wazo hili kwa sababu tutakuwa tunatatua tatizo moja tunaunda lingine.Tutajenga mawazo mabaya kwa majangili kuwa sasa ruksa.
Naomba aliyetoa wazo hili asisulubiwe naye japo ni mkurugenzi ana mawazo yake
Nashauri zitumike mbinu za kisayansi kudhibiti hali hii kama ifuatavyo
1.Askari wa germ watumie mbinu kuwarudisha watokako
2.Waweke mizinga ya nyuki
Tembo na ukubwa wake lakini anaogopa sana nyuki.Tembo ana uwezo wa kusikia sauti ya nyuki popote alipo na akiisikia anakimbia.
Pia tujaribu kutafuta vitu ambavyo tembo havipendi tu m discourage kwa wadudu tungetumia wataalamu wa Sokoine chuo kikuu ila kwa wanyama nadhani wataalam wa wildlife wanafahamu.
Mimi kama mzalendo sikubaliani na wazo hili kwa sababu tutakuwa tunatatua tatizo moja tunaunda lingine.Tutajenga mawazo mabaya kwa majangili kuwa sasa ruksa.
Naomba aliyetoa wazo hili asisulubiwe naye japo ni mkurugenzi ana mawazo yake
Nashauri zitumike mbinu za kisayansi kudhibiti hali hii kama ifuatavyo
1.Askari wa germ watumie mbinu kuwarudisha watokako
2.Waweke mizinga ya nyuki
Tembo na ukubwa wake lakini anaogopa sana nyuki.Tembo ana uwezo wa kusikia sauti ya nyuki popote alipo na akiisikia anakimbia.
Pia tujaribu kutafuta vitu ambavyo tembo havipendi tu m discourage kwa wadudu tungetumia wataalamu wa Sokoine chuo kikuu ila kwa wanyama nadhani wataalam wa wildlife wanafahamu.