The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Serikali imekusudia kuanzisha Bima ya Afya kwa wote Kwa kuitungia Sheria kuwa lazima.
Na kwa Mujibu wa Waziri wa Afya, Bima itaambatanishwa na huduma zingine kama leseni nk.
Aidha kutakuwa na vifurushi vya Bima na mtu atalazimika kuchangia pesa kwa lumpsum kiwango atakachochagua.
Sasa binafsi naona hiyo italeta usumbufu Sana na kufanya bima isiwe effective.
Naishauri Serikali iunde Bodi ya Kusimamia Bima ya Afya na iwe na chanzo chake cha mapato ambacho kiwe ni tozo zote za banks na za miamala ya simu Ili kupata pesa badala ya kuchangia kwa lump sum.
Chukulia bima ya 30,000 au 50,400 imeshindikana kuoatikana sembuse hiyo ya kuchangia?
Tozo zirejeshwe kwa ajili ya Bima ya Afya.
Na kwa Mujibu wa Waziri wa Afya, Bima itaambatanishwa na huduma zingine kama leseni nk.
Aidha kutakuwa na vifurushi vya Bima na mtu atalazimika kuchangia pesa kwa lumpsum kiwango atakachochagua.
Sasa binafsi naona hiyo italeta usumbufu Sana na kufanya bima isiwe effective.
Naishauri Serikali iunde Bodi ya Kusimamia Bima ya Afya na iwe na chanzo chake cha mapato ambacho kiwe ni tozo zote za banks na za miamala ya simu Ili kupata pesa badala ya kuchangia kwa lump sum.
Chukulia bima ya 30,000 au 50,400 imeshindikana kuoatikana sembuse hiyo ya kuchangia?
Tozo zirejeshwe kwa ajili ya Bima ya Afya.