Ushauri kwa Serikali: Kuliko kutozana pesa ya Bima ya Afya in lump sum, tozo zirudishwe kwa ajili ya Bima ya Afya kwa wote

Ushauri kwa Serikali: Kuliko kutozana pesa ya Bima ya Afya in lump sum, tozo zirudishwe kwa ajili ya Bima ya Afya kwa wote

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
19,582
Reaction score
14,167
Serikali imekusudia kuanzisha Bima ya Afya kwa wote Kwa kuitungia Sheria kuwa lazima.

Na kwa Mujibu wa Waziri wa Afya, Bima itaambatanishwa na huduma zingine kama leseni nk.

Aidha kutakuwa na vifurushi vya Bima na mtu atalazimika kuchangia pesa kwa lumpsum kiwango atakachochagua.

Sasa binafsi naona hiyo italeta usumbufu Sana na kufanya bima isiwe effective.

Naishauri Serikali iunde Bodi ya Kusimamia Bima ya Afya na iwe na chanzo chake cha mapato ambacho kiwe ni tozo zote za banks na za miamala ya simu Ili kupata pesa badala ya kuchangia kwa lump sum.

Chukulia bima ya 30,000 au 50,400 imeshindikana kuoatikana sembuse hiyo ya kuchangia?

Tozo zirejeshwe kwa ajili ya Bima ya Afya.
 
Serikali imekusudia kuanzisha Bima ya Afya kwa wote Kwa kuitungia Sheria kuwa lazima..

Na kwa Mujibu wa Waziri wa Afya ,Bima itaambatanishwa na huduma zingine kama leseni nk..

Aidha kutakuwa na vifurushi vya Bima na mtu atalazimika kuchangia pesa kwa lumpsum kiwango atakachochagua..

Sasa binafsi naona hiyo italeta usumbufu Sana na kufanya bima isiwe effective..

Naishauri Serikali iunde Bodi ya Kusimamia Bima ya Afya na iwe na chanzo chake Cha mapato ambacho kiwe ni tozo zote za banks na za miamala ya simu Ili kupata pesa badala ya kuchangia kwa lumpsum..

Chukulia bima ya 30,000 au 50,400 imeshindikana kuoatikana sembuse hiyo ya kuchangia?

Tozo zirejeshwe kwa ajili ya Bima ya Afya.
Kima
 
... serikali ingekuwa na historia nzuri ya matumizi ya fedha kwenye mifuko mbalimbali including ya pensheni wazo lako lingekuwa zuri sana!

Ila kwa uzoefu serikali ina historia mbaya na mifuko; hicho unachopendekeza hakitafanikiwa kutokana na historia hiyo; badala ya ahueni itaongeza maumivu kwa wananchi.
 
watu wamekaririshwa Tozo hadi wamesahau kuwa kazi ya Kodi tunayolipa ya VAT, PAYE, corporate taxes zote kazi zake ni hizo za kuhudumia watu kwny maeneo mbali mbali

utaskia hiki na hiki ni matokeo ya Tozo…jee kodi zile sijui with holding taxes huwa ndio za kuendeshea vikao na kununua ma v8 na tozo ndo za kusimangia wa Tz?
 
Aisee mimi nashauri Serikali iachane na mambo ya elimu bure, kila mtu asomeshe mtoto wake aliyezaa labda kwa zile familia masikini sana zilizopo kwenye tasaf

Hiyo hela itakayookolewa itumike kutoa bima ya afya kwa wote
 
We bang
Serikali imekusudia kuanzisha Bima ya Afya kwa wote Kwa kuitungia Sheria kuwa lazima..

Na kwa Mujibu wa Waziri wa Afya ,Bima itaambatanishwa na huduma zingine kama leseni nk..

Aidha kutakuwa na vifurushi vya Bima na mtu atalazimika kuchangia pesa kwa lumpsum kiwango atakachochagua..

Sasa binafsi naona hiyo italeta usumbufu Sana na kufanya bima isiwe effective..

Naishauri Serikali iunde Bodi ya Kusimamia Bima ya Afya na iwe na chanzo chake Cha mapato ambacho kiwe ni tozo zote za banks na za miamala ya simu Ili kupata pesa badala ya kuchangia kwa lumpsum..

Chukulia bima ya 30,000 au 50,400 imeshindikana kuoatikana sembuse hiyo ya kuchangia?

Tozo zirejeshwe kwa ajili ya Bima ya Afya.
Waumie wafanya miamala ya mara kwa mara we ukafaidike na maumivu ya wengine kupata bima? Kuna watu mwaka mzima kafanya muamala wa pesa hauzidi mara 10 tu, mwingine kwa mwezi tu hata mara 5+. Hebu wawe na strategies za kila mnufaika kuona anawajibika na ulipaji wake.
 
Serikali ina uwezo wa kuwapa wananchi wake wote Bima ya afya bila Tozo kwasababu ina Rasilimali za kutosha ni vile tu basi.
 
Serikali imekusudia kuanzisha Bima ya Afya kwa wote Kwa kuitungia Sheria kuwa lazima.

Na kwa Mujibu wa Waziri wa Afya, Bima itaambatanishwa na huduma zingine kama leseni nk.

Aidha kutakuwa na vifurushi vya Bima na mtu atalazimika kuchangia pesa kwa lumpsum kiwango atakachochagua.

Sasa binafsi naona hiyo italeta usumbufu Sana na kufanya bima isiwe effective.

Naishauri Serikali iunde Bodi ya Kusimamia Bima ya Afya na iwe na chanzo chake cha mapato ambacho kiwe ni tozo zote za banks na za miamala ya simu Ili kupata pesa badala ya kuchangia kwa lump sum.

Chukulia bima ya 30,000 au 50,400 imeshindikana kuoatikana sembuse hiyo ya kuchangia?

Tozo zirejeshwe kwa ajili ya Bima ya Afya.
Ujinga mtupu! Hapo ndiyo umefikia upeo wako wa kufikiri?
 
Serikali imekusudia kuanzisha Bima ya Afya kwa wote Kwa kuitungia Sheria kuwa lazima.

Na kwa Mujibu wa Waziri wa Afya, Bima itaambatanishwa na huduma zingine kama leseni nk.

Aidha kutakuwa na vifurushi vya Bima na mtu atalazimika kuchangia pesa kwa lumpsum kiwango atakachochagua.

Sasa binafsi naona hiyo italeta usumbufu Sana na kufanya bima isiwe effective.

Naishauri Serikali iunde Bodi ya Kusimamia Bima ya Afya na iwe na chanzo chake cha mapato ambacho kiwe ni tozo zote za banks na za miamala ya simu Ili kupata pesa badala ya kuchangia kwa lump sum.

Chukulia bima ya 30,000 au 50,400 imeshindikana kuoatikana sembuse hiyo ya kuchangia?

Tozo zirejeshwe kwa ajili ya Bima ya Afya.

Sasa kwa wale ambao hawatumii bank na hawafanyi miamala watakuwa wanalipa vipi? Na ikumbukwe kwenye matumizi ya miamala ya simu na bank kila mtu ana matumizi yake!

Kiufupi hoja yako ni kwamba serikali higharamie swala la bima ya afya kwa wote ...
 
Sasa kwa wale ambao hawatumii bank na hawafanyi miamala watakuwa wanalipa vipi? Na ikumbukwe kwenye matumizi ya miamala ya simu na bank kila mtu ana matumizi yake!

Kiufupi hoja yako ni kwamba serikali higharamie swala la bima ya afya kwa wote ...

Hilo lijamaa litoa post linakurupukaga kupost mautumbo tu, nahisi litakuwa ni mmoja wapo wa yale majitu ya hovyo yaliotajwa Kwenye ile ripoti ya twaweza
 
watu wamekaririshwa Tozo hadi wamesahau kuwa kazi ya Kodi tunayolipa ya VAT, PAYE, corporate taxes zote kazi zake ni hizo za kuhudumia watu kwny maeneo mbali mbali

utaskia hiki na hiki ni matokeo ya Tozo…jee kodi zile sijui with holding taxes huwa ndio za kuendeshea vikao na kununua ma v8 na tozo ndo za kusimangia wa Tz?
💯
 
We bang

Waumie wafanya miamala ya mara kwa mara we ukafaidike na maumivu ya wengine kupata bima? Kuna watu mwaka mzima kafanya muamala wa pesa hauzidi mara 10 tu, mwingine kwa mwezi tu hata mara 5+. Hebu wawe na strategies za kila mnufaika kuona anawajibika na ulipaji wake.
Mbaya zaidi huyo wa anaikatwa kapambana pekee yake na kupata bima kwa 1.5m halafu uje umuongezee tena tozo kwa ajili ya mvivu flani aliyopo pale kijijini kutwa nzima kubeti

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Aisee mimi nashauri Serikali iachane na mambo ya elimu bure, kila mtu asomeshe mtoto wake aliyezaa labda kwa zile familia masikini sana zilizopo kwenye tasaf

Hiyo hela itakayookolewa itumike kutoa bima ya afya kwa wote

Ndugu yangu Wakifanya hivyo lengo lao kuu la kukaa madarakani litakuwa kwenye mstari wa mwisho.

Unajua haya mambo yote ya tozo sijui Bima kwa wote (kwa lazima) , chini ya kapeti kuna objectives ya kukusanya pesa tu na kuwafanya wao wajiweke juu ya paa. Anayeumia ni mchanguaji ambaye siku zote hajui wala kufahamu matumizi sahihi ya vyanzo vyote vya mapato ya serikali.
 
Mbaya zaidi huyo wa anaikatwa kapambana pekee yake na kupata bima kwa 1.5m halafu uje umuongezee tena tozo kwa ajili ya mvivu flani aliyopo pale kijijini kutwa nzima kubeti

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ndio Kwa sababu anakatwa ni pesa ya serikali hiyo lakini pia sheria ya bima itabadilika kwamba na mwajiri atachangia sawa .
 
Hilo lijamaa litoa post linakurupukaga kupost mautumbo tu, nahisi litakuwa ni mmoja wapo wa yale majitu ya hovyo yaliotajwa Kwenye ile ripoti ya twaweza
Tozo ni muhimu sana kwa ajili ya Bima maana hata ukibisha na kupiga ngumi ukuta lazima utalipa Bima utake au usitake.
 
Sasa kwa wale ambao hawatumii bank na hawafanyi miamala watakuwa wanalipa vipi? Na ikumbukwe kwenye matumizi ya miamala ya simu na bank kila mtu ana matumizi yake!

Kiufupi hoja yako ni kwamba serikali higharamie swala la bima ya afya kwa wote ...
Kuna mtu asiyefanya miamala kwenye simu? Watalipiwa na wengine kama ilivyo kwa watumishi na wategemezi au mtu mwaka mzima hajaenda hospital lakini anakatwa.

Cha msingi kila mtu awe na Bima
 
Back
Top Bottom