The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
- #21
Nyie ndio tukenge,wewe uliye na shamba hapo linakusaidia nini kama huna uwezo wa kuliendeleza?Serikali ina uwezo wa kuwapa wananchi wake wote Bima ya afya bila Tozo kwasababu ina Rasilimali za kutosha ni vile tu basi.
Kwa hiyo serikali isubirie wawekezaji waje kuendeleza ndio tupate Bima wakati tunaweza kuanza na Bima kwa kutumia tozo.