Ushauri kwa Serikali: Naomba isiwapangie bei ya kuuza cement,wachwe watumie fursa

Ushauri kwa Serikali: Naomba isiwapangie bei ya kuuza cement,wachwe watumie fursa

safuher

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2019
Posts
11,837
Reaction score
17,412
Naishauri Serikali yangu ambayo ina lengo kubwa la kuinua viwanda na biashara katika hasa suala hili la cement.

Naomba Serikali isiingilie bei na kuwapangia wauzaji wauze kwa bei fulani na bei fulani, hii naona kama inarudisha nyuma kidogo.

Acha watu wanunue kila mmoja auze kwa bei yake anayoitaka maadamu tu hakuna mtu anaelimbikiza kwa kununua kwa wingi na kuficha ili baadae iwe adimu aje kuuza kwa bei ya juu.

Kila mtu ananunua na inapatikana cement maeneo mbalimbali sana,huku kupanda bei ni maana yake mahitaji yake yamekuwa makubwa sana watu wanahitania cement kwa wingi wafanyie mambo yao.

Kwa kuwa kuna wauzaji wengi basi naomba kila mtu auze kwa bei yake,huyu akiuza bei juu ataenda kwingine.

Maisha yanapanda,gharama zinazidi,hali za watu zinabadilika hivyo bei ya cement ya mwaka jana au juzi basi isilazimishwe iwe sawa na bei ya leo.

Mfanyabiashara wa baiskeli anapouza baiskeli anauza kwa bei ambayo anaona yeye itamkidhi kuendesha maisha,hivyo hivyo kwenye cement watu wanauza kwa ajili ya kujipatia faida wao wenyewe na kuendesha maisha,kupanga bei ni kumpangia mahitaji muuzaje.

Naomba Serikali iendelee kuboresha maisha kwa kuwawezesha watu na kuwapa urahisi wa kumudu gharama za maisha zinavyoenda,sio kushusha bei za wauzaji.

Tukumbuke kuwa huyu muuzaji nae ni mtanzania,akiuza kwa bei ya juu nae anafaidika,akiuza kwa bei ya chini anaefaidika ni mnunuaji.

Hivyo katika cement pia mtanzania muuzaji anafaidika pia.

Kwa hiyo bidhaa ikipanda bei maana yake wanaohitaji ni wengi na kwa kuwa wauzaji ni wengi basi naomba serikali sipangie bei wauzaji.
 
Wewe safuher ama utakuwa ni Cement Dealer au Una Roho mbaya tu au umeiba Cement ya Kuiweka katika Godauni na sasa unalazimisha Soko.
 
Wewe safuher ama utakuwa ni Cement Dealer au Una Roho mbaya tu au umeiba Cement ya Kuiweka katika Godauni na sasa unalazimisha Soko.
Haha kwa nini mkuu...

Huyu anaeuza si ni mtanzania naye anafaidika ?
 
Naishauri serikali yangu ambayo ina lengo kubwa la kuinua viwanda na biashara katika hasa suala hili la cement.

Naomba serikali isiingilie bei na kuwapangia wauzaji wauze kwa bei fulani na bei fulani,hii naona kama inarudisha nyuma kidogo.

Acha watu wanunue kila mmoja auze kwa bei yake anayoitaka maadamu tu HAKUNA MTU ANAELIMBIKIZA KWA KUNUNUA KWA WINGI NA KUFICHA ILI BAADAE IWE ADIMU AJE KUUZA KWA BEI YA JUU.

Kila mtu ananunua na inapatikana cement maeneo mbalimbali sana,huku kupanda bei ni maana yake mahitaji yake yamekuwa makubwa sana watu wanahitania cement kwa wingi wafanyie mambo yao.

Kwa kuwa kuna wauzaji wengi basi naomba kila mtu auze kwa bei yake,huyu akiuza bei juu ataenda kwingine.

Maisha yanapanda,gharama zinazidi,hali za watu zinabadilika hivyo bei ya cement ya mwaka jana au juzi basi isilazimishwe iwe sawa na bei ya leo.

Mfanya biashara wa baiskeli anapouza baiskeli anauza kwa bei ambayo anaona yeye itamkidhi kuendesha maisha,hivyo hivyo kwenye cement watu wanauza kwa ajili ya kujipatia faida wao wenyewe na kuendesha maisha,kupanga bei ni kumpangia mahitaji muuzaje.

Naomba serikali iendelee kuboresha maisha kwa kuwawezesha watu na kuwapa urahisi wa kumudu gharama za maisha zinavyoenda,sio kushusha bei za wauzaji.

Tukumbuke kuwa huyu muuzaji nae ni mtanzania,akiuza kwa bei ya juu nae anafaidika,akiuza kwa bei ya chini anaefaidika ni mnunuaji.

Hivyo katika cement pia mtanzania muuzaji anafaidika pia.

Kwa hiyo bidhaa ikipanda bei maana yake wanaohitaji ni wengi na kwa kuwa wauzaji ni wengi basi naomba serikali sipangie bei wauzaji.

Huo ndiyo ulio ukweli mchungu. Ila kwa kuwasaidia mawazo, na wawandoe madalali wote katika shughuli zozote kwa jina lolote iwe ni kangomba, wapiga debe nk.

Hiyo itapunguza markup zinazozalishwa njiani pasipo na kuongeza tija yoyote kabla ya bidhaa kumfikia mlaji.

Ma ajenti uchwara hawa kwenye supply chains ni mzigo mkubwa kwa mlaji.

Bila shaka wanaendelea kuwapo kwa sababu tu ni wapiga kura wetu. Acha tuone mbwa anavyokula mbwa.

Pana mahali nimesikia ni rasmi uzazi bure kwenye hospitali za serikali, sasa kwishney.

Uzazi wa kawaida 50,000/= @, operations 300,000/= @. Ningali na verify kupata veracity na ku balance mizania kabla ya kupandisha uzi rasmi.

Yasemekana huko kwa sasa ni misonyo na kulaani kwa kwenda mbele!

Yajayo yanafurahisha!
 
Serikali badala isaidie viwanda vya cement vifunguliwe kwa wingi, ili bei ishuke. Yenyewe inajua kulazimisha bei zishuke tu ndio solution.

Kodi zipo juu, wenye viwanda wanapunguza wafanyakazi kila kukicha na production.
Moja ya maendeleo ni kupanda kwa bei bidhaa mbali mbali.

Kwa sababu gharama za maisha zinakua kadri siku zinavyozidi kwenda mbele
 
Yaani mazao yote ccm wakiongozwa na Kim wao ameua kuanzia korosho Ohio mimi nitanunua ohh mimi nina soko ohoo kama hamnunui tutakula wenyewe kwa kweli leo ndio naona kuanzia chalinze hadi Newala korosho na ufuta tunakula wenyewe ,huyo Kim au jiwe amewahi kuuza hata nyanya?Wahindi somo lao kubwa ni moja tu biashara sasa anakuja mtu amesoma stadi za kazi anasema lazima bei ya bidhaa flani iwe hii yaani hajui mchakato wa hasara Wala faida kisa tu amekuwa waziri wa viti maalum ,yaani watawala wa Tanzania tuna umaskini wa kufikiri .
 
Naishauri serikali yangu ambayo ina lengo kubwa la kuinua viwanda na biashara katika hasa suala hili la cement.

Naomba serikali isiingilie bei na kuwapangia wauzaji wauze kwa bei fulani na bei fulani,hii naona kama inarudisha nyuma kidogo.

Acha watu wanunue kila mmoja auze kwa bei yake anayoitaka maadamu tu HAKUNA MTU ANAELIMBIKIZA KWA KUNUNUA KWA WINGI NA KUFICHA ILI BAADAE IWE ADIMU AJE KUUZA KWA BEI YA JUU.

Kila mtu ananunua na inapatikana cement maeneo mbalimbali sana,huku kupanda bei ni maana yake mahitaji yake yamekuwa makubwa sana watu wanahitania cement kwa wingi wafanyie mambo yao.

Kwa kuwa kuna wauzaji wengi basi naomba kila mtu auze kwa bei yake,huyu akiuza bei juu ataenda kwingine.

Maisha yanapanda,gharama zinazidi,hali za watu zinabadilika hivyo bei ya cement ya mwaka jana au juzi basi isilazimishwe iwe sawa na bei ya leo.

Mfanya biashara wa baiskeli anapouza baiskeli anauza kwa bei ambayo anaona yeye itamkidhi kuendesha maisha,hivyo hivyo kwenye cement watu wanauza kwa ajili ya kujipatia faida wao wenyewe na kuendesha maisha,kupanga bei ni kumpangia mahitaji muuzaje.

Naomba serikali iendelee kuboresha maisha kwa kuwawezesha watu na kuwapa urahisi wa kumudu gharama za maisha zinavyoenda,sio kushusha bei za wauzaji.

Tukumbuke kuwa huyu muuzaji nae ni mtanzania,akiuza kwa bei ya juu nae anafaidika,akiuza kwa bei ya chini anaefaidika ni mnunuaji.

Hivyo katika cement pia mtanzania muuzaji anafaidika pia.

Kwa hiyo bidhaa ikipanda bei maana yake wanaohitaji ni wengi na kwa kuwa wauzaji ni wengi basi naomba serikali sipangie bei wauzaji.
Mkuu tuonee huruma basi, kuna sisi wengine ndio kwanza tunataka kuanza ujenzi.
 
Mkuu tuonee huruma basi, kuna sisi wengine ndio kwanza tunataka kuanza ujenzi.
Vipi na wale wenye majukumu kibao,usafirishaji wa cement na kununua kwake na gharama zote tusiwaonee huruma mkuu ?


Hili suala ni la watanzania wote.
 
Yaani mazao yote ccm wakiongozwa na Kim wao ameua kuanzia korosho Ohio mimi nitanunua ohh mimi nina soko ohoo kama hamnunui tutakula wenyewe kwa kweli leo ndio naona kuanzia chalinze hadi Newala korosho na ufuta tunakula wenyewe ,huyo Kim au jiwe amewahi kuuza hata nyanya?Wahindi somo lao kubwa ni moja tu biashara sasa anakuja mtu amesoma stadi za kazi anasema lazima bei ya bidhaa flani iwe hii yaani hajui mchakato wa hasara Wala faida kisa tu amekuwa waziri wa viti maalum ,yaani watawala wa Tanzania tuna umaskini wa kufikiri .
Ooh mkuu taratibu basi tuchangie kwa ustaarabu,tusianze kuchambana.
 
Soma "The Law Of Demand vs The Law Of Supply" katika Economics. Ninaamini, mtazamo wako huo utabadilika.

Bei zinapanda na kushuka sio kwasababu ya maendeleo, zinapanda kwasababu ya "UGUMU/URAHISI WA UPATIKANAJI WA BIDHAA", "KIPATO CHA WANUNUZI", "UMUHIMU WA BIDHAA YENYEWE".
Mkuu nimesema moja ya maendeleo ni kuoanda kwa bei bidhaa,sijasema kuwa hiyo ni sababu peke yake ya kupanda bidhaa.

Nimegusia uhitaji katika uzi wangu na shida za wauzaji pia.

Hakuna haja ya kusoma kitabu ambacho asili yake ni mawazo ya mtu kama haya yangu.

Vitabu vimeandikwa na watu,hivyo watu wanaweza kuwa na mawazo kama ya kwenye kitabu lakini hawakuwahi kukisoma kitabu jiko.

Tujadili kama watu,tusijadili kama vitabu
 
Vipi na wale wenye majukumu kibao,usafirishaji wa cement na kununua kwake na gharama zote tusiwaonee huruma mkuu ?


Hili suala ni la watanzania wote.
Kuhusu hao ndio maana makampuni yanayozalisha unakuta wanakuwa na magari yao kwa ajili ya kusambaza.
 
Kuhusu hao ndio maana makampuni yanayozalisha unakuta wanakuwa na magari yao kwa ajili ya kusambaza.
Hayo magari kuna masharti utimize ndo upewe gari.

Pengine unanunua alafu idadi ya mifuko ya kupewa gari bado.

Au unanunua alafu umbali wa unakofika mzigo wako ni zaidi ya umbali wa ofa ya mtoa gari.


Hapo unahitajika kutoa gari yako mwenyewe,gharama inaongezeka.

Sasa haya yote ni maisha ambayo serikali iangalie namna gani itatatua
 
Naishauri Serikali yangu ambayo ina lengo kubwa la kuinua viwanda na biashara katika hasa suala hili la cement.

Naomba Serikali isiingilie bei na kuwapangia wauzaji wauze kwa bei fulani na bei fulani, hii naona kama inarudisha nyuma kidogo.

Acha watu wanunue kila mmoja auze kwa bei yake anayoitaka maadamu tu hakuna mtu anaelimbikiza kwa kununua kwa wingi na kuficha ili baadae iwe adimu aje kuuza kwa bei ya juu.

Kila mtu ananunua na inapatikana cement maeneo mbalimbali sana,huku kupanda bei ni maana yake mahitaji yake yamekuwa makubwa sana watu wanahitania cement kwa wingi wafanyie mambo yao.

Kwa kuwa kuna wauzaji wengi basi naomba kila mtu auze kwa bei yake,huyu akiuza bei juu ataenda kwingine.

Maisha yanapanda,gharama zinazidi,hali za watu zinabadilika hivyo bei ya cement ya mwaka jana au juzi basi isilazimishwe iwe sawa na bei ya leo.

Mfanyabiashara wa baiskeli anapouza baiskeli anauza kwa bei ambayo anaona yeye itamkidhi kuendesha maisha,hivyo hivyo kwenye cement watu wanauza kwa ajili ya kujipatia faida wao wenyewe na kuendesha maisha,kupanga bei ni kumpangia mahitaji muuzaje.

Naomba Serikali iendelee kuboresha maisha kwa kuwawezesha watu na kuwapa urahisi wa kumudu gharama za maisha zinavyoenda,sio kushusha bei za wauzaji.

Tukumbuke kuwa huyu muuzaji nae ni mtanzania,akiuza kwa bei ya juu nae anafaidika,akiuza kwa bei ya chini anaefaidika ni mnunuaji.

Hivyo katika cement pia mtanzania muuzaji anafaidika pia.

Kwa hiyo bidhaa ikipanda bei maana yake wanaohitaji ni wengi na kwa kuwa wauzaji ni wengi basi naomba serikali sipangie bei wauzaji.
Serikali ina haki ya kumlinda mlaji kwa staili ambayo haimuumizi mzalishaji wa bidhaa, msambazaji wala muuzaji.
Ukiona bei ya bidhaa inapanda kiholela au ulanguzi wa bidhaa basi ni dhahiri kuna tatizo la kimfumo katika uchumi wa nchi husika.
Busara zaidi za wachumi wetu zitumike kuishauri serikali pasi na uoga ili wananchi waweze kunufaika na maendeleo kiuchumi .
 
Serikali ina haki ya kumlinda mlaji kwa staili ambayo haimuumizi mzalishaji wa bidhaa, msambazaji wala muuzaji.
Ukiona bei ya bidhaa inapanda kiholela au ulanguzi wa bidhaa basi ni dhahiri kuna tatizo la kimfumo katika uchumi wa nchi husika.
Busara zaidi za wachumi wetu zitumike kuishauri serikali pasi na uoga ili wananchi waweze kunufaika na maendeleo kiuchumi .
Ndio lakini inpofikia suala la kupanga bei waangalie chanzo cha kupanda bei ni kipi ndo wazuie hiko chanzo na sio kuzuia bei na kuishusha wakati pengine hapa kati kati kuna mambo kibao yanafanyika na hayo ndo ya kupigia marufuku.
 
Back
Top Bottom