Ushauri kwa Serikali ya Tanzania na watu wake

Ushauri kwa Serikali ya Tanzania na watu wake

TPP

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2023
Posts
650
Reaction score
783
Nimekuwa Tanzania kwa muda mrefu sasa nataka kutoa ushauri kwa serikali ya Tanzania na wananchi wa Tanzania.

Nchi ya Tanzania ina kabiliwa na umasikini mkubwa hali hii nimejifunza na kushuhudia sehemu kubwa ya Tanzania na hali hii kwa sasa inazidi kuathiriwa kwa kasi na tatizo la kuongezeka kwa wingi wa watu kuhusu tatizo la kazi hili ni la kidunia kwa sasa kutokana na mapinduzi makubwa ya sayansi na teknolojia.

Tanzania ni nchi masikini sana na ina matatizo mengi sana haya nimeweza kuona na kujifunza

Ushauri
Serikali ya Tanzania yapaswa kuanzisha sera ya population control ili kudhibiti ongezeko la watu lisilo endana na hali ya kiuchumi ya Tanzania kwani isipo fanya hivyo kuna madhara makubwa nchi ya Tanzania itapata kwa miaka mingi ijayo
 
China hali ya umasikini na population kubwa iliwahi kuisumbua na kusababisha madhara makubwa sana hata sasa bado tatizo la wingi watu pia kwa baadhi ya maeneo laisumbua serikali katika kupambana na umasikini na tatizo la kazi
 
Kila anayezaliwa ana Rizki yake...
 
Nimekuwa Tanzania kwa muda mrefu sasa nataka kutoa ushauri kwa serikali ya Tanzania na wananchi wa Tanzania.

Nchi ya Tanzania ina kabiliwa na umasikini mkubwa hali hii nimejifunza na kushuhudia sehemu kubwa ya Tanzania na hali hii kwa sasa inazidi kuathiriwa kwa kasi na tatizo la kuongezeka kwa wingi wa watu kuhusu tatizo la kazi hili ni la kidunia kwa sasa kutokana na mapinduzi makubwa ya sayansi na teknolojia.

Tanzania ni nchi masikini sana na ina matatizo mengi sana haya nimeweza kuona na kujifunza

Ushauri
Serikali ya Tanzania yapaswa kuanzisha sera ya population control ili kudhibiti ongezeko la watu lisilo endana na hali ya kiuchumi ya Tanzania kwani isipo fanya hivyo kuna madhara makubwa nchi ya Tanzania itapata kwa miaka mingi ijayo

Mpumbavu mmoja wewe ! 945sq.km za Ardhi vs 60ml people na maliasili kibao halafu wasema upuuzi gani ? Tunahitaji utawala bora wa kidemocrasia na kuratibu uendelezaji wa mali asili tuu ! + elimu na afya watu wazalishe mali na sio kudhibiti population!
 
Nimekuwa Tanzania kwa muda mrefu sasa nataka kutoa ushauri kwa serikali ya Tanzania na wananchi wa Tanzania.

Nchi ya Tanzania ina kabiliwa na umasikini mkubwa hali hii nimejifunza na kushuhudia sehemu kubwa ya Tanzania na hali hii kwa sasa inazidi kuathiriwa kwa kasi na tatizo la kuongezeka kwa wingi wa watu kuhusu tatizo la kazi hili ni la kidunia kwa sasa kutokana na mapinduzi makubwa ya sayansi na teknolojia.

Tanzania ni nchi masikini sana na ina matatizo mengi sana haya nimeweza kuona na kujifunza

Ushauri
Serikali ya Tanzania yapaswa kuanzisha sera ya population control ili kudhibiti ongezeko la watu lisilo endana na hali ya kiuchumi ya Tanzania kwani isipo fanya hivyo kuna madhara makubwa nchi ya Tanzania itapata kwa miaka mingi ijayo
Kwa kiasi fulani nakubaliana nawe,
But remember: "a large population makes the strong nation". By Mao, Chairman of CPC.

Kinachotakiwa ni kufanya uwekezaji kuvwa ktk ELIMU, hususani Elimu ya Sayansi na Teknolojia, kuwa na Mipango & Mikakati Madhubuti pamoja kuwa na Uongozi Bora ktk nchi.
 
Kwa kiasi fulani nakubaliana nawe,
But remember: "a large population makes the strong nation". By Mao, Chairman of CPC.

Kinachotakiwa ni kufanya uwekezaji kuvwa ktk ELIMU, hususani Elimu ya Sayansi na Teknolojia, kuwa na Mipango & Mikakati Madhubuti pamoja kuwa na Uongozi Bora ktk nchi.
Umezungumza kuhusu Chairman Mao " a large population makes the strong nation".

China ilikabiliwa na extreme poverty ya zaidi ya watu 800mln imetumika zaidi ya miaka 40 kushindana na hali hio ila bado serikali ina pambana kuongeza pato la wananchi kwa jitihada za pamoja.

Deng aliweza kuzuia ongezeko kubwa la watu kwa sera ya mtoto mmoja ili kupunguza changamoto za rapid population increase dhidi ya hali ya uchumi
 
Siyo kweli, Tanzania inatatizo la uongozi mbovu, ufisadi, wizi, uvivu na ujinga huwezi kuwa na kilimo cha kutegemea mvua dunia ya leo na una mito na maziwa.
Kuna familia nyingi Tanzania zenye watoto wengi zisizo weza wahudumia kwa pato la siku na mwaka likiwa la chini sana huu ni umasikini mkubwa na wenye madhara makubwa kwa miaka mingi ijayo
 
Kila anayezaliwa ana Rizki yake...
Hayo yanakuwa maisha ya mchezo wa kubahatisha. Umasikini hapaswi kushindwa kwa mbinu za mchezo wa kubahatisha
 
Mpumbavu mmoja wewe ! 945sq.km za Ardhi vs 60ml people na maliasili kibao halafu wasema upuuzi gani ? Tunahitaji utawala bora wa kidemocrasia na kuratibu uendelezaji wa mali asili tuu ! + elimu na afya watu wazalishe mali na sio kudhibiti population!
Pamoja yakuwa umerushia maneno ya kuudhi haipaswi kuwa sababu ya kushindwa kukusikiliza.

Haipaswi kuutazama umasikini kwa kuwa na ukubwa wa eneo la nchi bali tunapaswa kuutazama wingi wa watu na hali kiuchumi ipo vipi ?

Watu wanapo kuwa wengi na hali ya kiuchumi haiendani na huo wingi wa watu kuna tokea inequality kubwa inayo pelekea wachache kuwa na pesa huku wengi wakiwa na umasikini mkubwa wa kudumu.

Pato la wananchi wa Tanzania wengi lipo chini lisiloweza kujitosheleza kuruhusu watu wengi waongezeke ni kuruhusu masikini wengi wa kudumu kuongezeka hii sio nzuri.

Dunia sasa yaenda kwenye mapinduzi ya juu ya kiteknolojia uhitaji mkubwa wa wingi wa watu una pungua
 
Kwahiyo unapingana na sera za yule aliyepita kwamba tuendelee kufyatua?
Kuruhusu ongezeko kubwa la watu hasa Tanzania pasipo kutazama muelekeo wa dunia ni upi katika mapinduzi ya kiteknolojia hii haiwezi kuwa sera bora.

Sera hio itaongeza masikini wengi wa kudumu kwa miaka mingi na inequality kubwa itatokea
 
Siyo kweli, Tanzania inatatizo la uongozi mbovu, ufisadi, wizi, uvivu na ujinga huwezi kuwa na kilimo cha kutegemea mvua dunia ya leo na una mito na maziwa.
Kweli kabisa. Tuna ardhi kubwa ya kutosha kuishi hata watu mil200 na ziada,rasilimali za kutosha n.k. viongozi ndio hakuna.
 
Siyo kweli, Tanzania inatatizo la uongozi mbovu, ufisadi, wizi, uvivu na ujinga huwezi kuwa na kilimo cha kutegemea mvua dunia ya leo na una mito na maziwa.
Halafu nchi inanunua magari ya gharama kuendesha shughuri za kuhudumia wananchi maskini. Tatizo ni ccm na utamaduni wake iliojiwekea wa kuwadumaza watu watanzania ili itawale milele.
 
Hayo yanakuwa maisha ya mchezo wa kubahatisha. Umasikini hapaswi kushindwa kwa mbinu za mchezo wa kubahatisha
Hakuna kubahatisa ni kuzaliana kwa kwenda mbele....
 
Nimekuwa Tanzania kwa muda mrefu sasa nataka kutoa ushauri kwa serikali ya Tanzania na wananchi wa Tanzania.

Nchi ya Tanzania ina kabiliwa na umasikini mkubwa hali hii nimejifunza na kushuhudia sehemu kubwa ya Tanzania na hali hii kwa sasa inazidi kuathiriwa kwa kasi na tatizo la kuongezeka kwa wingi wa watu kuhusu tatizo la kazi hili ni la kidunia kwa sasa kutokana na mapinduzi makubwa ya sayansi na teknolojia.

Tanzania ni nchi masikini sana na ina matatizo mengi sana haya nimeweza kuona na kujifunza

Ushauri
Serikali ya Tanzania yapaswa kuanzisha sera ya population control ili kudhibiti ongezeko la watu lisilo endana na hali ya kiuchumi ya Tanzania kwani isipo fanya hivyo kuna madhara makubwa nchi ya Tanzania itapata kwa miaka mingi ijayo
Naunga mkono hoja yako kwa 1000%.
Wafahidhina na wapenda conspiracies watabisha na kukupinga sana ila ulichosema ni ukweli mtupu.
 
  • Thanks
Reactions: TPP
China hali ya umasikini na population kubwa iliwahi kuisumbua na kusababisha madhara makubwa sana hata sasa bado tatizo la wingi watu pia kwa baadhi ya maeneo laisumbua serikali katika kupambana na umasikini na tatizo la kazi
China inatumia watu wake kuzalisha kuanzia ndani kwao hadi Tanzania.
Tanzania inatafuta watu wa kufanyia kazi na raia wengi wakiwa bila kazi za kuzalisha mali.
Vitu viwili vinavyoelekea kinyume na mwenzake.
Wingi wa watu ni faida na ulinzi ukitumika vizuri.
 
Back
Top Bottom