Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tuna matapeli tupu, angalia Rais wa Zambia anatumia pickup na wakati huku DED ana V8Kweli kabisa. Tuna ardhi kubwa ya kutosha kuishi hata watu mil200 na ziada,rasilimali za kutosha n.k. viongozi ndio hakuna.