Timu ya Simba pokeeni ushauri huu.
Kwa kuwa mna kikosi kipana na kizuri, tumieni kikosi cha pili kucheza na Yanga.
Kwa nini?
1. Katika kipindi hichi ambacho mmepata mafanikio timu ya Yanga itakamia mechi ili kuonyesha kuwa na wao ni bora.
2. Ikiwa mechi hii ikamiwa hivyo inaweza kuwaacha na majeruhi wa kutosha au kuwakosa wachezaji wenu muhimu.
3. Mkiwakosa wachezaji muhimu mjue Kaizer Chiefs anawatoa kiulaini.
4. Pia hamuwezi jua ikiwa Kaizer Chiefs watatumia mbinu kupitia kwa mchezaji mmoja mmoja kuwatengenezea majeruhi.
Ushahidi: Mliona vile Prison iliwakamia katika ule mchezo wa kwanza.
Suluhisho:
Kwa kuwa tayari mnaongoza ligi, na kwa kuwa bado mnaweza kuwa mabingwa wa ligi, na kwa kuwa mnataka haswa kuingia nusu fainali na hata fainali,
MSIINGIZE KIKOSI CHA KWANZA.
Kama hamtaki, BASI.