Kwa ratiba mmeshapangiwa na inaonekana kuwa tight sana kwa nini msigawanye vikosi viwili?
Nadhani mna wachezaji wa kutosha na wenye uwezo, gawanyeni kikosi kimoja kinacheza huku kingine kule ili muwapunguzie wachezaji uchovu. Huo muda wa kusafiri kikosi husika kiutumie kwa mazoezi ya kufa mtu.
La sivyo, maeme kuwa hamna kikosi kipana kama mnavyotuambia...
Wale wazoefu ebu pendekezeni vikosi viwili vya Simba vitakavyokuwa!
Nadhani mna wachezaji wa kutosha na wenye uwezo, gawanyeni kikosi kimoja kinacheza huku kingine kule ili muwapunguzie wachezaji uchovu. Huo muda wa kusafiri kikosi husika kiutumie kwa mazoezi ya kufa mtu.
La sivyo, maeme kuwa hamna kikosi kipana kama mnavyotuambia...
Wale wazoefu ebu pendekezeni vikosi viwili vya Simba vitakavyokuwa!