Ushauri kwa Star TV

Ushauri kwa Star TV

KAKA NASOKI

Senior Member
Joined
May 25, 2016
Posts
191
Reaction score
212
Katika matangazo yenu mnaonyesha lile ziwa lililoko nadhani Mbeya, lenye umbo la ramani ya Tanzania, ila mwonekano wake haujidhirishi kwani picha imepigwa mtu akiwa ardhini, nawashauri mpige hiyo picha upya kwa kutumia drone
 
Back
Top Bottom