Ushauri kwa TFF, bodi ya ligi na ligi kuu Tanzania

Ushauri kwa TFF, bodi ya ligi na ligi kuu Tanzania

Pesa pesa pesa pesa mamaeeeee
Tiba ni kujaribu kuwa na wigo mpana wa kuwapata na kuwaandaa wachezaji , kwa vile ni lazima kwa kila mtoto apate elimu ya msingi na kwa kuzingatia ndiyo kipindi cha ukuaji,na ndicho kipindi cha kujengewa misingi.

Pamoja na changamoto lukuki zinazoikabili sekta ya michezo Nchini, tutumie rasilimali zilizopo kupata matokeo. Naimani pakiwa na mpango kazi wa muda mfupi ,kati na tafiti za Kisayansi za kutafuta majawabu ambayo si ya kufikirika tokana na changamoto ambazo zinatukabili, at least tutasogea hatua kadhaa mbele kupata wanamichezo wenye sifa na ari ya kupata mafanikio
 
TFF na Ligi Kuu ihakikishe mgawanyo sawa wa mechi zitakazo oneshwa kwa vilabu vyote shiriki. Watakaochukua haki za matangazo wahakikishe wanajizatiti kwa kuongeza channeli zao kuwezesha kutoa fursa za uchaguzi wa mechi ya kuangalia mubashara.
Hiyo bodi ya ligi inanuka rushwa, ratiba zinapangwa kama watu wanazozipanga hata darasa la 7 hawajafika, haiwezekan timu 1 msimu unaelekea kuisha hazijakutana, mfano Namungo vs Simba, yaan hii bodi ya ligi na TFF ni kituko!
 
Hiyo bodi ya ligi inanuka rushwa, ratiba zinapangwa kama watu wanazozipanga hata darasa la 7 hawajafika, haiwezekan timu 1 msimu unaelekea kuisha hazijakutana, mfano Namungo vs Simba, yaan hii bodi ya ligi na TFF ni kituko!
Hahaha! Hili linayomaajabu aisee
 
Back
Top Bottom