Ushauri kwa TFF: Mnapopanga ratiba za saa nane mchana, hakikisheni Kila timu inaguswa na hiyo ratiba

Niliandika humu kuhusu jambo hili nikaishia kutukanwa
 
Mechi ya Simba na Yanga ina mengi nyuma, Moja ni Biashara. Hizi mechi huwa zinapangwa kuhakikisha Mapato yanakusanywa kwa wingi sana,mfano kutanua wigo wa wahudhuriaji.
Anajifanya hajui..

Yeye anatoa ushauri tu, nikajua anatoa na fungu la kudhamini pengo la mapato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…