BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
Tarehe 16 timu ya Simba inacheza mchezo wa marudiano na timu ya El Merreikh ya Sudan. Tofauti na michezo iliyopita iliyochezwa kwa Mkapa,mechi hii itachezwa bila washangiliaji.
Katika kuamsha hamasa kwa wachezaji, nashauri viongozi wa Simba wanaohusika na hamasa wakusanye yale mabango ya vitambaa yanayotambulisha matawi na kwenda kuyafunga kwenye majukwaa ndani ya uwanja wa Mkapa.
Hii, kwa mtazamo wangu inaweza kusaidia kuongeza morali kwa wachezaji.
Ahsante
Katika kuamsha hamasa kwa wachezaji, nashauri viongozi wa Simba wanaohusika na hamasa wakusanye yale mabango ya vitambaa yanayotambulisha matawi na kwenda kuyafunga kwenye majukwaa ndani ya uwanja wa Mkapa.
Hii, kwa mtazamo wangu inaweza kusaidia kuongeza morali kwa wachezaji.
Ahsante