Mwl Athumani Ramadhani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,280
- 2,522
Wazalendo wote popote mlipo!nitumieni ujumbe huu kwa ndugu yetu Tundu lisu,Taifa lako linahitaji uchapakazi wako na taaluma YAKO ya sheria, sahau yote na urudi NYUMBANI ufanye kazi ya kulijenga Taifa lako Tanzania.
Team yenye Warioba ndani yake,Tundu Lisu,Mkandala na wadau wengine ni team nzuri Sana ambayo inaweza kushughulika na changamoto mbali mbali za kisheria na kikatiba na hatimaye kupata katiba Mpya!Muda umefika Sasa ni wakati wa kuwa pamoja kama Taifa na kujadili mstakabali wetu KWA pamoja!mchango wako unahitajika Rudi nyumbani haraka na umuombe Rais akujumuishe kwenye kikosi kazi cha katiba mpya cha mkandala.
Muda wa katiba mpya ni Sasa Ili tupate Tanzania Mpya tulioiota KWA miaka Mingi.
Mungu ibariki TANZANIA!
Team yenye Warioba ndani yake,Tundu Lisu,Mkandala na wadau wengine ni team nzuri Sana ambayo inaweza kushughulika na changamoto mbali mbali za kisheria na kikatiba na hatimaye kupata katiba Mpya!Muda umefika Sasa ni wakati wa kuwa pamoja kama Taifa na kujadili mstakabali wetu KWA pamoja!mchango wako unahitajika Rudi nyumbani haraka na umuombe Rais akujumuishe kwenye kikosi kazi cha katiba mpya cha mkandala.
Muda wa katiba mpya ni Sasa Ili tupate Tanzania Mpya tulioiota KWA miaka Mingi.
Mungu ibariki TANZANIA!