Je, Kuna timu yoyote ile kutoka Zanzibar iliyoshiriki katika michuano hii!?Mechi itachezwa Zanzibar mkuu Kizimkazi, haujapata update?
πππ kijana yupo 1998 watu yupo 2024Unaishi nchi gani? Kuna internet huko? Vipi madem wa huko ni wazuri? Je ni waaminifu?
Hao TFF ni wa ngese sana.Je, Kuna timu yoyote ile kutoka Zanzibar iliyoshiriki katika michuano hii!?
Je, Kuna makubaliano ya pamoja kati ya TFF na ZFF juu ya uedeshaji wa pamoja wa michuano hii!?
Je, Kati ya mashirika hayo mawili, lipi ndilo mmiliki na msimamizi wa michuano hiyo?
Je, Kuna muinguliano wa mipaka ya kijografia katika uendeshaji wake?
Je, Tukirejea historia, kuna jambo kama hili limewahi kufanyika toka kuzinduliwa kwa michuano hii?
Kila la kheri Yangaaa ππππͺπͺ!
Umauzi umeshapita; utalii zaidi kwa Zanzibar. Sasa tusubiri siku fainali za mashindano yanayosimamiwa na ZFF zitakapoletwa ArushaJe, Kuna timu yoyote ile kutoka Zanzibar iliyoshiriki katika michuano hii!?
Je, Kuna makubaliano ya pamoja kati ya TFF na ZFF juu ya uedeshaji wa pamoja wa michuano hii!?
Je, Kati ya mashirika hayo mawili, lipi ndilo mmiliki na msimamizi wa michuano hiyo?
Je, Kuna muinguliano wa mipaka ya kijografia katika uendeshaji wake?
Je, Tukirejea historia, kuna jambo kama hili limewahi kufanyika toka kuzinduliwa kwa michuano hii?
Inawezekana TFF hawajui umuhimu wa mchezo huo Ndiyo maana ratiba na ubora wa viwanja vya kucheza mpira haukuangaliwa,(pitch)Fainali ya Kombe la CRDB itakuwa kati ya timu ya YANGA na AZAM. Uongozi wa TFF ulipendekeza kuwa fainali hiyo uchezwe Mjini Babati lakini kutokana na wingi wa mashabiki/ watazamaji na ukubwa wa uwanja unaokadiriwa kuchukua watazamaji wachache.
Ninaishauri TFF kuwa mchezo huu uhamishwe kwenye uwanja Mkapa, Kirumba au Dodoma viwanja ambavyo vina uwezo wa kuchukua watazamaji wengi na pia umuhimu wa fainali hiyo.