Ushauri Kwa Urusi : Huwezi kuwaangamiza mchwa bila kumuua Malikia wao, Mwenzako Japan alilijua hilo na akajaribu Bahati yake

Ushauri Kwa Urusi : Huwezi kuwaangamiza mchwa bila kumuua Malikia wao, Mwenzako Japan alilijua hilo na akajaribu Bahati yake

Gan star

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
379
Reaction score
982
Tumeshuhudia Urusi ikiivamia Ukraine kijeshi , uvamizi huu ulikuwa na lengo la kuiweka Ukraine chini ya himaya ya Urusi ikiwa ni pamoja na kusimika utawala mpya ( Full scale millitary invasion), na hvyo kufagilia mbali malengo ya NATO pamoja na wahuni wa US kujibanza pale.

Mambo hayajaenda vizur Kwa Warusi tunaoaminishwa ni taifa Bora kijeshi , mpak sasa majeshi ya Urusi yanazidi kuukimbia mji wa Kiyv..

Sitaki kuongea mengi hapo mana kila mmoja anajua what is real going on.

Kinachoshangaza ni kauli za Urusi kuishutumu NATO na hasa Marekani , kana kwamba pale Ukraine haendi kupigana na Ukraine Bali USA, washabiki wa Urusi walienda mbali zaid kuitaka marekani iingie vitani , ( kichekesho cha Karne) ...Zaid ya hayo ni ukweli usiopingika USA ndo aliyeanzisha propaganda za kuuvunja muungano wa kisoviet na akafaulu

Sio mara ya Kwanza US kuzifanyia choko choko baadhi ya nchi , kuna mataifa ambayo Marekani hawezi kuyavamia kichwa kichwa Ila huwa anayafanyia timing yanaingia mkenge na kuyamaliza kisayansi , kuna mengine huwa anayavamia , kuna mengine huwa ana-fail na mengine anafaulu, hata hvyo success rate ni 70-80% , hata yale ambayo huwa anashindwa basi ni yale yasiyo na athari kubwa kwenye Sera zake e.g Afghanistan & North Vietnam,

Waswahili wanasema Huwezi kuangamiza mchwa kama hutaweza kumuangamiza malkia mana ndo anazalisha mchwa kama Huwezi kudhibiti chanzo cha tatizo Huwezi kulitatua tatizo...

Kati Kati ya Karne ya 19 , Japan ilianza kujitanua kiuchumi, kisiasa na kijeshi ... Katika kutafuta malighafi option iliyokuwepo ni kukwapua makoloni , Japan ikaivamia China , na baadhi ya visiwa vya Pacific ( Southern Pacific).. Marekani ikaanza kumfanyia chokochoko , mara kuwekewa vikwazo , huku marekani yeye akiendelea kuneemeka na makoloni .....
Japan akaona tatizo kubwa ni US, kiasi kwamba ukimpiga US , hawa wengine wadogo wadogo hawatakuwa na nguvu , lakini ukiwapiga hawa wadogo huku US akiwa alive , utasumbuka Sana , na utakuwa hujatatua tatizo ....

Isoroku Yamamoto Admiral of the Imperial Japanese Navy and the commander-in-chief of the Combined Fleet ( Highest millitary officer ) alitahadharisha kuwa Japan haiwez kustand for long against US forces , na aliplan inabd wawe offensive ndani ya miezi 6 , na ndani ya miez hyo wawe tayar wameiforce Marekani kuingia kwenye makubaliano , vita ikienda Zaid ya mwaka mmoja Japan haitakuwa na chance ya kuwin , mana Marekani atakuwa ameswitch all her might industrial power toward the war.

Plan iliyokuwepo ni kushambulia Kwa kushtukiza na ku-nock out kituo kikubwa cha kijeshi Central Pacific kwenye kisiwa cha Hawaii ( Pearl harbor) part of USA territory, Yamamoto alijua kabisa kituo hiki kikianguka , marekani hatakuwa na uwezo wa kutawala eneo la kusini mwa Pacific Kwa zaidi ya mwaka mmoja , istoshe by that time kulikuwa hamna long range millitary aircraft za kutokea USA direct to hit Japan ...lazima utumie aircraft carrier ili zikusogeze karbu kuweza kufanya mashambulizi ambazo nyingi zilikuwepo Hawaii kwenye kituo cha kijeshi ...
Note: Aircraft Carrier ni meli za kivita zenye uwezo wa kubeba ndege za kivita hasa kwenye eneo Pana la bahari

CV-2_Lexington-2.gif

WW2 Aircraft carrier USS Lexington


Japan pia alijua akifanikisha , itamchukua mwaka mzima Marekani kujipanga upya , na hvyo yeye Japan atakuwa amejitanua vya kutosha , na hii itawalazimu US kuingia kwenye mapatano... Chini ya mastermind Admiral Isoroku Yamamoto mipango na mikakati hii ilikuwa well organized na ingeleta tija kama ingeenda viral 😊

Ni kweli shambulio la Pearl harbor December 1941 lilifanikiwa ( excellent ambush ) cha kushangaza na chenye kuleta maswali mengi ni kuwa japo lilikuwa ni shambulizi la kushtukiza US aircraft carrier zote hazikuwepo kwenye base mda wa shambulio , ( Aircraft Carrier zilikuwa meli mhimu mno kwenye medani ya kivita kipindi cha WW2 , hasa Pacific theatre) kushindwa kuzizamisha hizi ilikuwa mistake kubwa mno Kwa Japan ....

Baada ya shambulio Isoroku Yamamoto alisema "I fear all we have done is to awaken a sleeping giant and fill him with a terrible resolve." Na show ikaanza, Marekani akatangaza vita na Japan , iliyodumu Kwa miaka takriban 5 huku Japan ikishindwa vitani ....!!!

Yamamoto alikufa mwaka April 1943 , wakati ndege yake ya kijeshi Aina ya Mitsubishi Betty Bomber ilipoangushwa na ndege za kimarekani kwenye msako uliojulikana kama " Operations Vergence"


Hvyo hvyo kama Russia anaona Marekani ndo chanzo cha matatizo yote amshambulie tu moja Kwa moja , wapigane ijulikane Nani mbabe .....


Kama amekuvunjia umoja wako na bado anakusogelea kimafia , ya nn kuhangaika na nchi kama Ukraine....!!! Ni upuuzi kufkri US atapeleka majeshi kupigana na urusi kule Ukraine , Kwa maslahi yapi ,? Sana sana utampa mwanya wa kukuletea mamluki , upambane nao ,huku yeye akitoa advise , na akikuamulia lazima ushindwe...!

Marekani kwenye hzi show za unafiki ni mzoefu since day one
 
Haya yote unafikiri vyombo vya ulinzi vya Russia havitambui? Kama UK tu ameweza sambaza Javeline na kuangamiza misafara yote ya Russia Ukraine, what if UK ndo angeingia vitani ground battle dhidi ya Russia? Si wangepasua njia mpaka Russia?

Sasa huyo ni mshirika tu wa US, US mwenyewe muweke pembeni. Russia anafikiria mno kupambana na US, lakini kitu pekee anachosita ni uimara wa zana zake.

Kama vifaru vyake vya kisasa vimeweza kuwekwa chini kizembe vile pale Ukraine, ana uhakika gani hizo Nuclear zake pamoja na Submarines zinaweza tikisa anga la US while US kabla ya kumfikia sehemu nyingi mno ana Base?

US sana sana anamfikiria NATO, akiingia vitani na Russia, Ulaya inaweza ikaathirika zaidi kwa silaha uchwara za Urusi lakini sio US.

Hakuna taifa nilikuwa naliamini ktk medani za Vita kama Russia, ila kupitia hii ya ukraine nimeona ni taifa la kawaida tu, sema ubaya ni kwamba kuna Nuclear kwao, na nina mashaka sasa na hizo Nuclear. Nchi gani inalipuliwa kituo kikubwa cha mafuta kwa helcopter? Hizo s300, s400 defence systems zilizimwa au?

Katika medani hii ya kivita na propaganda, US, German, France na UK ni moto mwingine. Huu ni ukweli mchungu.

Tukumbuke pia hata kiuchumi Russia hamgusi Japan, weka mbali hao jamaa hao juu, Japan mwenyewe tu hamgusi kipesa.
 
Hizi superpower huwa zinaviziana nani mchokoz wa kuanzisha vita, sbb anayechokozwa atakuwa na sabbu ya kutumia silaha yoyote ikiwemo nuclear. Syria ni nchi pekee ambayo Russia ana powerful military base yake.
Ni kweli, lkn jamaa asiseme et Russia is weak. Kule Venezuela US kasanda. Na Putin aliwah kunujuliwa akisema "angelikua rais wakati wa Gaddafi, angelikua hai mpaka sasa"
 
Tumeshuhudia Urusi ikiivamia Ukraine kijeshi , uvamizi huu ulikuwa na lengo la kuiweka Ukraine chini ya himaya ya Urusi ikiwa ni pamoja na kusimika utawala mpya ( Full scale millitary invasion), na hvyo kufagilia mbali malengo ya NATO pamoja na wahuni wa US kujibanza pale.

Mambo hayajaenda vizur Kwa Warusi tunaoaminishwa ni taifa Bora kijeshi , mpak sasa majeshi ya Urusi yanazidi kuukimbia mji wa Kiyv..

Sitaki kuongea mengi hapo mana kila mmoja anajua what is real going on.

Kinachoshangaza ni kauli za Urusi kuishutumu NATO na hasa Marekani , kana kwamba pale Ukraine haendi kupigana na Ukraine Bali USA, washabiki wa Urusi walienda mbali zaid kuitaka marekani iingie vitani , ( kichekesho cha Karne) ...Zaid ya hayo ni ukweli usiopingika USA ndo aliyeanzisha propaganda za kuuvunja muungano wa kisoviet na akafaulu

Sio mara ya Kwanza US kuzifanyia choko choko baadhi ya nchi , kuna mataifa ambayo Marekani hawezi kuyavamia kichwa kichwa Ila huwa anayafanyia timing yanaingia mkenge na kuyamaliza kisayansi , kuna mengine huwa anayavamia , kuna mengine huwa ana-fail na mengine anafaulu, hata hvyo success rate ni 70-80% , hata yale ambayo huwa anashindwa basi ni yale yasiyo na athari kubwa kwenye Sera zake e.g Afghanistan & North Vietnam,

Waswahili wanasema Huwezi kuangamiza mchwa kama hutaweza kumuangamiza malkia mana ndo anazalisha mchwa kama Huwezi kudhibiti chanzo cha tatizo Huwezi kulitatua tatizo...

Kati Kati ya Karne ya 19 , Japan ilianza kujitanua kiuchumi, kisiasa na kijeshi ... Katika kutafuta malighafi option iliyokuwepo ni kukwapua makoloni , Japan ikaivamia China , na baadhi ya visiwa vya Pacific ( Southern Pacific).. Marekani ikaanza kumfanyia chokochoko , mara kuwekewa vikwazo , huku marekani yeye akiendelea kuneemeka na makoloni .....
Japan akaona tatizo kubwa ni US, kiasi kwamba ukimpiga US , hawa wengine wadogo wadogo hawatakuwa na nguvu , lakini ukiwapiga hawa wadogo huku US akiwa alive , utasumbuka Sana , na utakuwa hujatatua tatizo ....

Isoroku Yamamoto Admiral of the Imperial Japanese Navy and the commander-in-chief of the Combined Fleet ( Highest millitary officer ) alitahadharisha kuwa Japan haiwez kustand for long against US forces , na aliplan inabd wawe offensive ndani ya miezi 6 , na ndani ya miez hyo wawe tayar wameiforce Marekani kuingia kwenye makubaliano , vita ikienda Zaid ya mwaka mmoja Japan haitakuwa na chance ya kuwin , mana Marekani atakuwa ameswitch all her might industrial power toward the war.

Plan iliyokuwepo ni kushambulia Kwa kushtukiza na ku-nock out kituo kikubwa cha kijeshi Central Pacific kwenye kisiwa cha Hawaii ( Pearl harbor) part of USA territory, Yamamoto alijua kabisa kituo hiki kikianguka , marekani hatakuwa na uwezo wa kutawala eneo la kusini mwa Pacific Kwa zaidi ya mwaka mmoja , istoshe by that time kulikuwa hamna long range millitary aircraft za kutokea USA direct to hit Japan ...lazima utumie aircraft carrier ili zikusogeze karbu kuweza kufanya mashambulizi ambazo nyingi zilikuwepo Hawaii kwenye kituo cha kijeshi ...
Note: Aircraft Carrier ni meli za kivita zenye uwezo wa kubeba ndege za kivita hasa kwenye eneo Pana la bahari

View attachment 2175511
WW2 Aircraft carrier USS Lexington


Japan pia alijua akifanikisha , itamchukua mwaka mzima Marekani kujipanga upya , na hvyo yeye Japan atakuwa amejitanua vya kutosha , na hii itawalazimu US kuingia kwenye mapatano... Chini ya mastermind Admiral Isoroku Yamamoto mipango na mikakati hii ilikuwa well organized na ingeleta tija kama ingeenda viral 😊

Ni kweli shambulio la Pearl harbor December 1941 lilifanikiwa ( excellent ambush ) cha kushangaza na chenye kuleta maswali mengi ni kuwa japo lilikuwa ni shambulizi la kushtukiza US aircraft carrier zote hazikuwepo kwenye base mda wa shambulio , ( Aircraft Carrier zilikuwa meli mhimu mno kwenye medani ya kivita kipindi cha WW2 , hasa Pacific theatre) kushindwa kuzizamisha hizi ilikuwa mistake kubwa mno Kwa Japan ....

Baada ya shambulio Isoroku Yamamoto alisema "I fear all we have done is to awaken a sleeping giant and fill him with a terrible resolve." Na show ikaanza, Marekani akatangaza vita na Japan , iliyodumu Kwa miaka takriban 5 huku Japan ikishindwa vitani ....!!!

Yamamoto alikufa mwaka April 1943 , wakati ndege yake ya kijeshi Aina ya Mitsubishi Betty Bomber ilipoangushwa na ndege za kimarekani kwenye msako uliojulikana kama " Operations Vergence"


Hvyo hvyo kama Russia anaona Marekani ndo chanzo cha matatizo yote amshambulie tu moja Kwa moja , wapigane ijulikane Nani mbabe .....


Kama amekuvunjia umoja wako na bado anakusogelea kimafia , ya nn kuhangaika na nchi kama Ukraine....!!! Ni upuuzi kufkri US atapeleka majeshi kupigana na urusi kule Ukraine , Kwa maslahi yapi ,? Sana sana utampa mwanya wa kukuletea mamluki , upambane nao ,huku yeye akitoa advise , na akikuamulia lazima ushindwe...!

Marekani kwenye hzi show za unafiki ni mzoefu since day one
Ukiangalia hii vita hapa ilipofikia inaonekana ni mbio ndefu je urus anayo
 
Mpaka wasubili 24 hrs zote izo wakati hypersonic inafika new york within 30min
Hayo machuma machuma ya Hypersonic ni mbwembwe kama mbwembwe nyingine tuuu, hata iyo nuclear weapons ni mbwembwe kama mbwembwe nyingine tuuu. Kuna MTU aliyejua kuna St. Javelin za kuangamiza vifaru, si tumekutana nazo kwy vita ya Ukraine. Je nani anajua silaha alizojipga nazo USA
 
Hayo machuma machuma ya Hypersonic ni mbwembwe kama mbwembwe nyingine tuuu, hata iyo nuclear weapons ni mbwembwe kama mbwembwe nyingine tuuu. Kuna MTU aliyejua kuna St. Javelin za kuangamiza vifaru, si tumekutana nazo kwy vita ya Ukraine. Je nani anajua silaha alizojipga nazo USA
Marekani sio wa kuwachukulia poa ,wa kupambana nao hajazaliwa , waingie full kabisa Mazima aisee mbna mwez mrefu umeshaomba poo
 
Ninavyojua mimi Russia troops zinaondoka kiev kama alama ya nia nzuri ili kuhusu mazungumzo yanayoendelea.
Kitu ambacho nna uhakika nacho ni kua mwisho wa siku Ukraine hawatajiunga nato, wasahau kuhusu donbase na crimea .

Hao wababe unaowasema walishinda vita gani zaidi ya iraq chovu? Tena walienda kama alliance.
 
Haya yote unafikiri vyombo vya ulinzi vya Russia havitambui? Kama UK tu ameweza sambaza Javeline na kuangamiza misafara yote ya Russia Ukraine, what if UK ndo angeingia vitani ground battle dhidi ya Russia? Si wangepasua njia mpaka Russia?

Sasa huyo ni mshirika tu wa US, US mwenyewe muweke pembeni. Russia anafikiria mno kupambana na US, lakini kitu pekee anachosita ni uimara wa zana zake.

Kama vifaru vyake vya kisasa vimeweza kuwekwa chini kizembe vile pale Ukraine, ana uhakika gani hizo Nuclear zake pamoja na Submarines zinaweza tikisa anga la US while US kabla ya kumfikia sehemu nyingi mno ana Base?

US sana sana anamfikiria NATO, akiingia vitani na Russia, Ulaya inaweza ikaathirika zaidi kwa silaha uchwara za Urusi lakini sio US.

Hakuna taifa nilikuwa naliamini ktk medani za Vita kama Russia, ila kupitia hii ya ukraine nimeona ni taifa la kawaida tu, sema ubaya ni kwamba kuna Nuclear kwao, na nina mashaka sasa na hizo Nuclear. Nchi gani inalipuliwa kituo kikubwa cha mafuta kwa helcopter? Hizo s300, s400 defence systems zilizimwa au?

Katika medani hii ya kivita na propaganda, US, German, France na UK ni moto mwingine. Huu ni ukweli mchungu.

Tukumbuke pia hata kiuchumi Russia hamgusi Japan, weka mbali hao jamaa hao juu, Japan mwenyewe tu hamgusi kipesa.
German kivita KWA sasa hivi ni mchumba tuu hata sisi tunaweza mshika Kota ... Kainvest zaidi kwenye uchumi kuliko military power
 
Haya yote unafikiri vyombo vya ulinzi vya Russia havitambui? Kama UK tu ameweza sambaza Javeline na kuangamiza misafara yote ya Russia Ukraine, what if UK ndo angeingia vitani ground battle dhidi ya Russia? Si wangepasua njia mpaka Russia?

Sasa huyo ni mshirika tu wa US, US mwenyewe muweke pembeni. Russia anafikiria mno kupambana na US, lakini kitu pekee anachosita ni uimara wa zana zake.

Kama vifaru vyake vya kisasa vimeweza kuwekwa chini kizembe vile pale Ukraine, ana uhakika gani hizo Nuclear zake pamoja na Submarines zinaweza tikisa anga la US while US kabla ya kumfikia sehemu nyingi mno ana Base?

US sana sana anamfikiria NATO, akiingia vitani na Russia, Ulaya inaweza ikaathirika zaidi kwa silaha uchwara za Urusi lakini sio US.

Hakuna taifa nilikuwa naliamini ktk medani za Vita kama Russia, ila kupitia hii ya ukraine nimeona ni taifa la kawaida tu, sema ubaya ni kwamba kuna Nuclear kwao, na nina mashaka sasa na hizo Nuclear. Nchi gani inalipuliwa kituo kikubwa cha mafuta kwa helcopter? Hizo s300, s400 defence systems zilizimwa au?

Katika medani hii ya kivita na propaganda, US, German, France na UK ni moto mwingine. Huu ni ukweli mchungu.

Tukumbuke pia hata kiuchumi Russia hamgusi Japan, weka mbali hao jamaa hao juu, Japan mwenyewe tu hamgusi kipesa.
Mimi ni Pro Russia, lakini kiukweli Russia wamekuwa exposed sana kwenye hii vita ya Ukraine. Labda kama malengo yao chini ya kapeti sio yale waliyoyatangaza kwenye media..

US na Russia wakiingia vitani kitu pekee cha kuogopesha ni Nuclear tu, ila US ana uwezo mkubwa wa kushinda vita.

I stand to be corrected though..
 
Back
Top Bottom