Ushauri: Kwa Utawala huu je ni biashara gani inafaa na inalipa japo kidogo

Ushauri: Kwa Utawala huu je ni biashara gani inafaa na inalipa japo kidogo

Hamna biashara ya kuku shauri mkuu. Hao wanao kushauri uingie kwenye chakula kwa mtaji wa laki 5, ni fine mbili au tatu tu za USAFI WA JIJI/CHAKULA (Jamaa Wa Afya) inakula kwako. Wanazunguka hao kukagua VIBANDA UMIZA (Mama Ntilie) vya misosi, we sikia tu.[emoji18]
Sikia kijana; usiwe na mawazo mgando kama wale walioshindwa!
Biashara ya chakula sio lazima iwe ya mama ntilie, anaweza kufanya biashara ya kusambaza chakula kwenye ofisi za watu binafsi, mashuleni n.k.
 
Back
Top Bottom