Hamna biashara ya kuku shauri mkuu. Hao wanao kushauri uingie kwenye chakula kwa mtaji wa laki 5, ni fine mbili au tatu tu za USAFI WA JIJI/CHAKULA (Jamaa Wa Afya) inakula kwako. Wanazunguka hao kukagua VIBANDA UMIZA (Mama Ntilie) vya misosi, we sikia tu.[emoji18]