Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
Ushauri huu unatoa mwanga mzuri kwa vijana kuhusu maadili na namna ya kujitunza.
1-no tattoos
2-no kutoboa pua na maskio kwa wanaume.
3-no twerking hadharani.
4-usivae kibukta kinachoacha nusu paja wazi.
5-jifunze kutengeneza hoja jifunze kuongea na watu
6-ukipata chance ya kusoma piga book soma hadi phd whatever
7-usifike miaka 30 bila mtoto.
8-jifunze kurisk pesa ili upate pesa
9-achana na wake za watu.
10-jifunze kuvaa vizuri official unavyotoka sio kila siku pens jezi na sendo.
1-no tattoos
2-no kutoboa pua na maskio kwa wanaume.
3-no twerking hadharani.
4-usivae kibukta kinachoacha nusu paja wazi.
5-jifunze kutengeneza hoja jifunze kuongea na watu
6-ukipata chance ya kusoma piga book soma hadi phd whatever
7-usifike miaka 30 bila mtoto.
8-jifunze kurisk pesa ili upate pesa
9-achana na wake za watu.
10-jifunze kuvaa vizuri official unavyotoka sio kila siku pens jezi na sendo.