Ushauri kwa wale wa early 2000's na late 90's

Ushauri kwa wale wa early 2000's na late 90's

Kwenye suala la umri wafanyabiashara hawajali kabisa. Kuna sehemu niliingia nikakuta watoto wa shule wanabet katika ile mashine ya kuingiza shilingi 200 mpaka nikamwambia mhusika wa pale asiwaruhusu watoto kucheza kamari
Kuanzia muuza pombe, mchezesha kamari, wote wawe na leseni maalumu, endapo watoto wakinywa hapo na akabainika kawauzia, ni kunyang'anywa leseni na adhabu juu. Au kuchezesha watoto kamari, ni adhabu na leseni inachukuliwa.
 
Nyimbo za sasa hivi ni kama pombe zinakufariji na kujiona huna matatizo kumbe uongo, mtu anaimba Bora nifirisike wainjoy warembo. Kodi ya nyumba nainywea pombe baba mwnye nyumb anakula makonde.
Unaweza ukadhani ni utani mkuu, mlevi akisikia huo ujumbe anaendelea kunywa hadi asubuhi.
 
Back
Top Bottom