nyamakonge
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 363
- 131
Awali ya yote napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza kwa kufanya vizuri katika matokeo yenu yaliyotangazwa jana.hongereni sana.
Pili napenda kutoa ushauri wangu wa hiari kwenu juu ya mambo yafuatay
1.Combination
kwanza kabla ya kwenda advance najua kila mtu ameshachagua aima ya masomo atakayopenda kusoma.eneo hili uwa lina tatizo sana hasa ukizingatia ufaulu wa mtu.cku zote matokeo sio kipimo cha akili so unaweza kufanya vizuri masomo flani lkn inawezekani una uwezo wa kuyasoma masomo hayo advance.kwaio unatakiwa kuchagua masomo ambayo una uwezo nayo..unaweza kua na b au a ya history lkn umeipata tu ka bahati.na hauna uwezo wa kulisoma somo hilo a level..so unatakiwa uchague kitu unachokiweza.
2.Mbadala
dunia ya sasa imebadilika na ina njia nyingi za kufikia jambo moja sio kama zamani.kama unataka kua.mhasibu,daktari,nesi,mwalimu,mwanasheria nk unaweza kufikia njia hiyo kwa kupita huku, , ,kwa matokeo yako let say unataka kua daktari na umepata div two form four unaweza kufanya application kwenye vyuo vya afya ukasoma clinical medicine ngazi ya diploma ukifaulu vizuri unakua na uhakika wa kupata degree yako bila kupita adv..same applied kwa wahasibu,wahandisi mkitumia vyuo kama cbe,tia mist,arusha tech nk
3.dhana
matokeo ya form four yameishia hapo form four na ni njia ya kukupa mwelekeo wa kuendelea na elimu ya juu.msije mkajidanganya kujigamba kwa matokeo yenu uko juu muendako mkifanya hivyo majanga makubwa yatawapata mtashindwa kutimiza ndoto zenu enendeni mkakazane
ktk masomo husika ili ndoto zenu zitimie.
wenu NYAMAKONGE
Pili napenda kutoa ushauri wangu wa hiari kwenu juu ya mambo yafuatay
1.Combination
kwanza kabla ya kwenda advance najua kila mtu ameshachagua aima ya masomo atakayopenda kusoma.eneo hili uwa lina tatizo sana hasa ukizingatia ufaulu wa mtu.cku zote matokeo sio kipimo cha akili so unaweza kufanya vizuri masomo flani lkn inawezekani una uwezo wa kuyasoma masomo hayo advance.kwaio unatakiwa kuchagua masomo ambayo una uwezo nayo..unaweza kua na b au a ya history lkn umeipata tu ka bahati.na hauna uwezo wa kulisoma somo hilo a level..so unatakiwa uchague kitu unachokiweza.
2.Mbadala
dunia ya sasa imebadilika na ina njia nyingi za kufikia jambo moja sio kama zamani.kama unataka kua.mhasibu,daktari,nesi,mwalimu,mwanasheria nk unaweza kufikia njia hiyo kwa kupita huku, , ,kwa matokeo yako let say unataka kua daktari na umepata div two form four unaweza kufanya application kwenye vyuo vya afya ukasoma clinical medicine ngazi ya diploma ukifaulu vizuri unakua na uhakika wa kupata degree yako bila kupita adv..same applied kwa wahasibu,wahandisi mkitumia vyuo kama cbe,tia mist,arusha tech nk
3.dhana
matokeo ya form four yameishia hapo form four na ni njia ya kukupa mwelekeo wa kuendelea na elimu ya juu.msije mkajidanganya kujigamba kwa matokeo yenu uko juu muendako mkifanya hivyo majanga makubwa yatawapata mtashindwa kutimiza ndoto zenu enendeni mkakazane
ktk masomo husika ili ndoto zenu zitimie.
wenu NYAMAKONGE