Ushauri: Kwa waliokosa mkopo

Window7

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2013
Posts
4,098
Reaction score
3,038
Natoa Pole kwa wote waliokosa Mkopo. Na pia nawashauri yafuatayo.-;
1. Kwa wale tusioenda JKT ni muda muafaka kuvutia kasi yakuomba upya mwakani
2. Usikae tu nyumbani bila shughuli watakuona tegemezi.
3.Jitahidi sana kuwaelewesha ndugu zako wakaribu ili wasiamini kua huu ndio mwisho wako waelimu.!
¤KUMBUKA¤
Wanafunzi wengi watapewa mkopo mwakani 2014 Maana Wanasiasa watahitaji kujisafisha Kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu 2015.!
Mungu ibariki HESLB.
Mungu ibariki JF
 
hujaoga wewe chawa wanakusumbua!!!!!!!nyambafuuuuuu:target:
 
In short me Mwenyewe Nimekosa Mkopo. Inaniuma ila kujifariji ni sehemu muhimu kwa maisha ya binadamu. Nimepoteza malengo yangu. Ndoto zimeyeyuka ghafla..!
 
kumbukeni pia kufuatilia kwenye asasi mbalimbali; uwa wanasaidia sana kusomesha wanachuo.
 
Me ninao ila umepelekwa chuo tofauti'' Majanga''
 
In short me Mwenyewe Nimekosa Mkopo. Inaniuma ila kujifariji ni sehemu muhimu kwa maisha ya binadamu. Nimepoteza malengo yangu. Ndoto zimeyeyuka ghafla..!

Ulichagua course gani? Kukosa mkopo sio ndio mwisho wa kutimiza ndoto zako,unaweza ukasoma. Tafuta sponsorship na ndugu nyumbani wanaweza kukuchangia. Kuna rafiki yangu alikosa mkopo,amepata sponsorship Barrick wanamlipia ada yote yeye anahangaika hela ya chakula na mambo mengine madogo madogo! Lakini haikuwa rahisi ila Mungu amemsaidia
 

Mkuu hebu nielekeze njia alizopitia
 

Na wewe umekosa? Mbona huna huzuni??? Mweh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…