Window7
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 4,098
- 3,038
Natoa Pole kwa wote waliokosa Mkopo. Na pia nawashauri yafuatayo.-;
1. Kwa wale tusioenda JKT ni muda muafaka kuvutia kasi yakuomba upya mwakani
2. Usikae tu nyumbani bila shughuli watakuona tegemezi.
3.Jitahidi sana kuwaelewesha ndugu zako wakaribu ili wasiamini kua huu ndio mwisho wako waelimu.!
¤KUMBUKA¤
Wanafunzi wengi watapewa mkopo mwakani 2014 Maana Wanasiasa watahitaji kujisafisha Kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu 2015.!
Mungu ibariki HESLB.
Mungu ibariki JF
1. Kwa wale tusioenda JKT ni muda muafaka kuvutia kasi yakuomba upya mwakani
2. Usikae tu nyumbani bila shughuli watakuona tegemezi.
3.Jitahidi sana kuwaelewesha ndugu zako wakaribu ili wasiamini kua huu ndio mwisho wako waelimu.!
¤KUMBUKA¤
Wanafunzi wengi watapewa mkopo mwakani 2014 Maana Wanasiasa watahitaji kujisafisha Kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu 2015.!
Mungu ibariki HESLB.
Mungu ibariki JF