Ushauri kwa wanao-BET

Ushauri kwa wanao-BET

Mbayaa zaidi hata izo odd zinachana mkeka muulize barcelona na bayern
 
atl madrid
real madrid
ac milan
juventus


ni nuksi hawa watu
 
Biashara hii inakuja kwa Kasi sana Nchini ukiangalia kuna makampuni zaidi ya Kumi yanafanya Michezo ya Bahati nasibu....

Sasa kama Unabet hakikisha usiwe na Tamaa maana Kampuni yenyewe haina Tamaa kabisa ya Kula hela nyingi.. hivi haujiulizi kwanini Kampuni inakwambia Weka Buku ushinde milioni 100 au weka Jero ushinde elfu 10 ... Yaani Mwenye kampuni anatoa elfu kumi ila Wewe unaweka jero. Kwa akili za Kawaida Biashara Kubwa Zote zinaweka Mtaji mkubwa ili kuja kukusanya Hela ndogo... Mfano Mtu ananunua Gari la Milioni 150 ili aje Akusanye Elfu 40 za Abiria.. au Daladala ya mil 30 aje akusanye 400 njiani...

Kwahy na bet ipo hivyo... Usitegemee ku win mil 100 kirahisi rahisi kwa kuweka dau La 500 . Bet hela kubwa Upate hela ndogo kila siku utaona faida yake...

Mfano Ukicheza kwa sh 10000 kwenye Odd ya 1.10 hapo utapata 11000 kwa mchezo mmoja.. hiyo elfu 11 tena ukicheza kwenye odd 1.10 itazidi ongezeka buku kwa kila mchezo... Mpk siku iishe utakuwa umeshaingiza zaidi ya elfu 30 kwa siku na umepata faida ya 20 elfu.. ukipiga kwa mwezi una laki 6 au zaidi.. cha Muhimu acha Tamaa ya kuzeza Odd kubwa baadae ujute... kama Totteham Kumfunga Real Madrid


Ni hayo Tu

Well said mkuu.
 
Betting haina formula mkuu.

Nadhan unaongelea probability hapa, ila betting ni bahat zaid..

Point ndogo mara nyingi zinaniua, juzi liver kashindwa kuwin first half nilikuwa nikiisaka milion 5 kwa elfu 50.. fikiria man u kafa kwa huddersfield..

Siwez weka laki moja nisubiri lakin na kumi, hapo hawajakata kodi yao ya 18% fikiria katika 110k wakikata 18% unabakiwa na nini unabakiwa na pes ndogo kuliko uliyoweka..

Ni vizur kutokuweka mitimu mingi ila kikubwa fanya vile akili yako inavyokutuma na kuamin, kama bahat ni kwako unatusua.. wapo waliokula milion mpaka 30 kwa hzo jero na buku..
 
Betting haina formula mkuu.

Nadhan unaongelea probability hapa, ila betting ni bahat zaid..

Point ndogo mara nyingi zinaniua, juzi liver kashindwa kuwin first half nilikuwa nikiisaka milion 5 kwa elfu 50.. fikiria man u kafa kwa huddersfield..

Siwez weka laki moja nisubiri lakin na kumi, hapo hawajakata kodi yao ya 18% fikiria katika 110k wakikata 18% unabakiwa na nini unabakiwa na pes ndogo kuliko uliyoweka..

Ni vizur kutokuweka mitimu mingi ila kikubwa fanya vile akili yako inavyokutuma na kuamin, kama bahat ni kwako unatusua.. wapo waliokula milion mpaka 30 kwa hzo jero na buku..
Kubet hakuna formula. Ila mbinu pekee ni uchache wa timu tu beti timu 4 kuxuka chini. Kama mtu unaweza angalia 2 hadi tatu tu.

Utaliwa leo but kesho utakula
Me binafsi chini ya odd 2 kwa mechi huwa sizipendi.
 
Hv nitajuaje kama ticket yangu ya m-bet imeshinda? Nimecheza perfect 12 jana ila hawaoneshi kama nime lost au nime win.......msaada tafadhali
NB: M-bet App
 
Back
Top Bottom