Ushauri kwa wanaume juu ya mwanamke wa kufanya naye maisha

Ushauri kwa wanaume juu ya mwanamke wa kufanya naye maisha

Tyrone Kaijage

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2021
Posts
1,617
Reaction score
3,405
Mwanaume kuwa makini zaidi wakati wa kuchagua mwanamke wa kuoa/ kuishi naye.

Tuko katika kizazi ambacho:

1. Wanawake hawakubali makosa yao,mara nying hulaumu juu jinsi wanavyotendewa na wanaume lakini hakuna atakayekubali kumlaumu mwanamke kwa utovu wa nidhamu kwa mwanaume.

2. Ni kizazi ambacho wanawake huathiriwa kwa urahisi na kile kinachotumwa kwenye mitandao ya kijamii.

3. Ni kizazi ambacho wanawake wanasikilizwa zaidi kuliko wanaume,taasisi za kuwatetea ni nyingi. (Kutoka namba 1).

4. Wanaume waliooa kuwa waangalifu.Leo hii nyumba nyingi za kulala wageni zimejaa wanawake walioolewa au wenye wapenzi wanaoishi nao. Wanawake walio kwenye ndoa wanaunda makundi ya whatsap (utasikia kungwi fulani kujiunga 3,000) ili tu kuongelea wapenzi wao na jinsi ya kuwaburudisha.

5. Wakiwa na vyanzo vya uhakika vya mapato wengi wao wanajiita Supa wumeni,waanza kutowaheshimu waume zao. Mara nyingi huona raha kuongea vibaya kuhusu ndoa wanapokuwa na marafiki.

Kijana kuwa mwangalifu unapochagua mke/mwanamke wa kuishi nae.

1. Fanya utafiti uone jinsi mama na dada zake wanavyo behave.

2. Angalia jinsi baba yake anavyotendewa na mama yake kama bado yu hai.

3. Angalia tabia za rafiki zake.

Fanya angalau ujue mtu unayetaka kumfanya mke/kuishi nae ni mtu mzima kiasi gani, yuko serious na mwenye mpangilio.

Inaishia hapa.
 
Kijana kuwa mwangalifu unapochagua mke/mwanamke wa kuishi nae.

1.Fanya utafiti uone jinsi mama na dada zake wanavyo behave.

2.Angalia jinsi baba yake anavyotendewa na mama yake kama bado yu hai.

3.Angalia tabia za rafiki zake
Hizo tatu ndio muhimu za kuangalia kabla ya kuoa. Embe halidondoki mbali na shina lake. Ukijua tabia za Mama na dada zake ndio umemjua yeye!
 
Mwanaume kuwa makini zaidi wakati wa kuchagua mwanamke wa kuoa/ kuishi nae.

Tuko katika kizazi ambacho:

1. Wanawake hawakubali makosa yao,mara nying hulaumu juu jinsi wanavyotendewa na wanaume lakini hakuna atakayekubali kumlaumu mwanamke kwa utovu wa nidhamu kwa mwanaume.

2.Ni kizazi ambacho wanawake huathiriwa kwa urahisi na kile kinachotumwa kwenye mitandao ya kijamii.

3.Ni kizazi ambacho wanawake wanasikilizwa zaidi kuliko wanaume,taasisi za kuwatetea ni nyingi. (Kutoka namba 1).

4.Wanaume waliooa kuwa waangalifu.Leo hii nyumba nyingi za kulala wageni zimejaa wanawake walioolewa au wenye wapenzi wanaoishi nao. Wanawake walio kwenye ndoa wanaunda makundi ya whatsap (utasikia kungwi fulani kujiunga 3,000) ili tu kuongelea wapenzi wao na jinsi ya kuwaburudisha.

5.Wakiwa na vyanzo vya uhakika vya mapato wengi wao wanajiita Supa wumeni,waanza kutowaheshimu waume zao. Mara nyingi huona raha kuongea vibaya kuhusu ndoa wanapokuwa na marafiki.

Kijana kuwa mwangalifu unapochagua mke/mwanamke wa kuishi nae.

1.Fanya utafiti uone jinsi mama na dada zake wanavyo behave.

2.Angalia jinsi baba yake anavyotendewa na mama yake kama bado yu hai.

3.Angalia tabia za rafiki zake.

Fanya angalau ujue mtu unayetaka kumfanya mke/kuishi nae ni mtu mzima kiasi gani, yuko serious na mwenye mpangilio.

Inaishia hapa.
Ushauri mzuri...
 
😁😁 Ushaona mtu alikuwa ka donkey pundaaa nisje nikakaua na mie nikajiuaa, natunzwa nalelewa na Nuzulati maisha nina enjoy
Huu ushuhuda hujawahi kunipa baba kijacho ngoja niende kwenye uzi wa kula tunda itakuwa unafunguka kule😬😬😬
 
Hapo kwenye namba 1,Kuna point ingawa asiye na ufahamu zaidi anahitaji maelezo ya ziada,kifupi ni kuwa mama na dada zake ni picha tosha ya mkeo jinsi atakavyokuwa,ingawa mara chache sana hutokea akawa tofauti nao...
 
kwakweli mambo ni magumu sana,au labda Mungu angemega kichwa badala ya mbavu mambo yangekuwa afadhali[emoji22][emoji22][emoji22]
JamiiForums-1882554008.jpg
 
*****Fanya utafiti uone jinsi mama na dada zake wanavyo behave.
 
Mwanaume kama hauna akili ni hauna tu hata uoe nani.
 
Back
Top Bottom